Mto Songwe
JF-Expert Member
- Jul 17, 2023
- 6,013
- 12,278
Kwa kiasi kikubwa hizi dini mbili kubwa za mashariki ya kati zilizo tapakaa Afrika Ukristo na Uislam.
Hizi dini kwa kiasi kikubwa zimeizika historia ya mwafrika cheo cha ufarao kimechorwa picha na dini hizi kama ushenzi.
Mafundisho ya hizi dini yana tengeneza collective punishment kwa msululu wa mafarao wote kuonekana walikuwa watu wa hovyo.
Ni ngumu sana mamilioni ya wafuasi wa hizi dini Afrika kuwatizama mafarao katika jicho tofauti na la kidini.
Hizi dini kwa kiasi kikubwa zimeizika historia ya mwafrika cheo cha ufarao kimechorwa picha na dini hizi kama ushenzi.
Mafundisho ya hizi dini yana tengeneza collective punishment kwa msululu wa mafarao wote kuonekana walikuwa watu wa hovyo.
Ni ngumu sana mamilioni ya wafuasi wa hizi dini Afrika kuwatizama mafarao katika jicho tofauti na la kidini.