GE2025 Maoni na ushauri binafsi wa Bishop Gwajima kuhusu Nonsense ya CHADEMA ya 'No Reforms No Election' upuuzwe

GE2025 Maoni na ushauri binafsi wa Bishop Gwajima kuhusu Nonsense ya CHADEMA ya 'No Reforms No Election' upuuzwe

Matukio, Taarifa, Habari na Mijadala ya Wananchi WAKATI wa Mchakato wa Uchaguzi Mkuu 2025

Tlaatlaah

JF-Expert Member
Joined
May 18, 2023
Posts
36,155
Reaction score
30,828
Leo anawatetea waropokaji, ving'ang'anizi na wasusaji wa michakato ya kidemokrasia wa chadema kuhusu reforms ambazo tayari zimeshafanyika.

Vipi kesho ACT, LND, UDP au CHAUMMA nao wakaja na madai ya reforms kadiri ya mapenzi ya vyama vyao au mashinikizo ya mabwenyenye ya magharibi yanayofadhili madai hewa kwa maslahi yao?
atakua tayari tena kuitisha press conference kuwatetea ?

ni muhimu sana askofu akaacha unafiki na kujifunza zaidi kuhusu demokrasia. :putinWalk:

Mungu Ibariki Tanzania

Pia soma > DSM - GE2025 - Askofu Gwajima: Kutawala Nchi wakati imemeguka kwa makovu ya Uchaguzi ni kazi ngumu sana, tuwape Reforms CHADEMA
 
Kazi mnayo machawa BUKU 7 kwa cku mtaipata kwa tabu MNO.
Kazi ni kipimo cha utu
changia tu hoja bila mihemko wala kuweweseka,

jikite kwenye mada gentleman
 
Leo anawatetea waropokaji, ving'ang'anizi na wasusaji wa michakato ya kidemokrasia wa chadema kuhusu reforms ambazo tayari zimeshafanyika.

Vipi kesho ACT, LND, UDP au CHAUMMA nao wakaja na madai ya reforms kadiri ya mapenzi ya vyama vyao au mashinikizo ya mabwenyenye ya magharibi yanayofadhili madai hewa kwa maslahi yao?
atakua tayari tena kuitisha press conference kuwatetea ?

ni muhimu sana askofu akaacha unafiki. :putinWalk:

Mungu Ibariki Tanzania
Gwajima ni wa kwenu huko ccm, pambaneni na vinyago vyenu. Bado Mapovu ya polepole
 
Leo anawatetea waropokaji, ving'ang'anizi na wasusaji wa michakato ya kidemokrasia wa chadema kuhusu reforms ambazo tayari zimeshafanyika.

Vipi kesho ACT, LND, UDP au CHAUMMA nao wakaja na madai ya reforms kadiri ya mapenzi ya vyama vyao au mashinikizo ya mabwenyenye ya magharibi yanayofadhili madai hewa kwa maslahi yao?
atakua tayari tena kuitisha press conference kuwatetea ?

ni muhimu sana askofu akaacha unafiki na kujifunza zaidi kuhusu demokrasia. :putinWalk:

Mungu Ibariki Tanzania
1752328038486.jpg

Mwenyekiti kalala
downloadfile.jpg
 
Leo anawatetea waropokaji, ving'ang'anizi na wasusaji wa michakato ya kidemokrasia wa chadema kuhusu reforms ambazo tayari zimeshafanyika.

Vipi kesho ACT, LND, UDP au CHAUMMA nao wakaja na madai ya reforms kadiri ya mapenzi ya vyama vyao au mashinikizo ya mabwenyenye ya magharibi yanayofadhili madai hewa kwa maslahi yao?
atakua tayari tena kuitisha press conference kuwatetea ?

ni muhimu sana askofu akaacha unafiki na kujifunza zaidi kuhusu demokrasia. :putinWalk:

Mungu Ibariki Tanzania

Hayo mengine kaka si matawi yenu?
 
Leo anawatetea waropokaji, ving'ang'anizi na wasusaji wa michakato ya kidemokrasia wa chadema kuhusu reforms ambazo tayari zimeshafanyika.

Vipi kesho ACT, LND, UDP au CHAUMMA nao wakaja na madai ya reforms kadiri ya mapenzi ya vyama vyao au mashinikizo ya mabwenyenye ya magharibi yanayofadhili madai hewa kwa maslahi yao?
atakua tayari tena kuitisha press conference kuwatetea ?

ni muhimu sana askofu akaacha unafiki na kujifunza zaidi kuhusu demokrasia. :putinWalk:

Mungu Ibariki Tanzania
Tahira kweli reform gani zimekwisha fanyika ambazo zinaacha makada waccm kuwa watendaji wakuu wa tume ya uchaguzi. Hivi nyie matahira wa ccm manafikiri watanzania wote milioni 70 wote ni matahira kama nyie?
 
Leo anawatetea waropokaji, ving'ang'anizi na wasusaji wa michakato ya kidemokrasia wa chadema kuhusu reforms ambazo tayari zimeshafanyika.

Vipi kesho ACT, LND, UDP au CHAUMMA nao wakaja na madai ya reforms kadiri ya mapenzi ya vyama vyao au mashinikizo ya mabwenyenye ya magharibi yanayofadhili madai hewa kwa maslahi yao?
atakua tayari tena kuitisha press conference kuwatetea ?

ni muhimu sana askofu akaacha unafiki na kujifunza zaidi kuhusu demokrasia. :putinWalk:

Mungu Ibariki Tanzania
Utakuwa shoga siyo bure
 
Tahira kweli reform gani zimekwisha fanyika ambazo zinaacha makada waccm kuwa watendaji wakuu wa tume ya uchaguzi. Hivi nyie matahira wa ccm manafikiri watanzania wote milioni 70 wote ni matahira kama nyie?
ukisusa michakato ya kidemokrasia, matokeo yake unajikuta na mihemko tu, huwezi ona kilichofanyika.

pole sana, usisuse siku nyingine
 
kwahiyo unataka kusema gwajima ni mnafika au?

Ccm na act au chauma au tadea ni kama yanga na pamba au yanga na dodoma jiji au kama yanga na singida ni ubavu mmoja

Na ccm mnataka kusema wapinzani wameshiriki wakati mpinzani mwenyewe ni tadea, hata ela ya kununua bendera hana
 
Leo anawatetea waropokaji, ving'ang'anizi na wasusaji wa michakato ya kidemokrasia wa chadema kuhusu reforms ambazo tayari zimeshafanyika.

Vipi kesho ACT, LND, UDP au CHAUMMA nao wakaja na madai ya reforms kadiri ya mapenzi ya vyama vyao au mashinikizo ya mabwenyenye ya magharibi yanayofadhili madai hewa kwa maslahi yao?
atakua tayari tena kuitisha press conference kuwatetea ?

ni muhimu sana askofu akaacha unafiki na kujifunza zaidi kuhusu demokrasia. :putinWalk:

Mungu Ibariki Tanzania
Amekaa kuunga mkono chadema, alafu anajidai ni ccm.tujue kuwa gwajima sio muadilifu kama mafisadi wakina Lema na Boniyai
 
Back
Top Bottom