Kipenzi Changu
Platinum Member
- Aug 24, 2011
- 59,233
- 138,749
Haya ni maoni yangu usijenge chuki.
Pamoja na mambo lukuki yalitokea 2014 yakionyesha taifa kukosa mwelekeo nashauri Dr. Slaa ahutubie taifa mwishoni mwa mwaka ku-adress mambo muhimu.
Hatujui hatima ya katiba mpya, kuna suala la Escrow tunahitaji msimamo,kingine ni kuhusu Uchaguzi, nadhani tumeona dalili za umwagaji damu katika uchaguzi wa serikali za mitaa
Pamoja na mambo lukuki yalitokea 2014 yakionyesha taifa kukosa mwelekeo nashauri Dr. Slaa ahutubie taifa mwishoni mwa mwaka ku-adress mambo muhimu.
Hatujui hatima ya katiba mpya, kuna suala la Escrow tunahitaji msimamo,kingine ni kuhusu Uchaguzi, nadhani tumeona dalili za umwagaji damu katika uchaguzi wa serikali za mitaa