Maoni: Biashara Ya Vyuma Chakavu Ipigwe Marufuku.

Mtoto wa Mkulima

JF-Expert Member
Apr 12, 2007
681
126
Wakuu nimeona nije na hii issue kwa sababu naona hili ni tatizo kubwa kuliko wengi wetu tunavyoliona. Sasa hivi kumezuka wimbi la biashara ya vyuma chakavu ambavyo vinasafirishwa kwenda Kenya. Biashara ni nzuri lakini ukiangalia hasara ya hii biashara kwa taifa letu ni kubwa sana. Nikizungumzia tuu kwa kifupi:

1.Sasa hivi mifuniko ya maji taka mjini huwezi kuiona kwa sababu watu wanaiba na kuuza kama vyuma chakavu. Hii ni hatari sana kwa watumiaji wa bara bara na pia huliingizia shirika hasara kubwa sana km kuziba kwa mitaro nk.

2. Nyaya za simu na umeme zinaibiwa kila siku na kusababidhia taifa hasara kubwa sana.

3. Vyuma vya madaraja vinaibiwa na kusababisha hasara ya maisha ya watu na mali zao.

4. Vyuma vya reli vinaibiwa na hii ni hatari sana kama huko Mbeya jamaa waling'oa reli ya TAZARA ili wapate vyuma vya kuuza.

5. Nakumbuka hapo nyuma kidogo kuliwahi kutoke mlipuko kwenye maghala ya kuhifadhi hivi nyuma na kusababisha upotevu wa maisha na mali.

Kuna mambo mengi sana kuhusu hii biashara ila wakuu mimi mwenyewe naona kama hatua za haraka sana hazitachukuliwa hii kitu itasababisha hasara kubwa sana kwa taifa.

WITO: Naiomba serikali na mamlaka zote zinazohusika kuanzia serikali za mitaa kupia marufuku hii biashara.
 
JONAS MWASUMBI in Mbeya
Daily News; Wednesday,January 16, 2008 @19:04

ONE of the forty Mbeya residents arrested between January and December, last year, for vandalising various public infrastructures, mostly the Tanzania-Zambia Railway Authority (Tazara), has been jailed for five years.

Mbeya Regional Police Commander Suleiman Kova said in his last year's annual report that the alleged culprits were arrested while removing slabs from the railway line to sale as iron scraps.

Mr Kova said the Tanzania Telecommunications Company Limited (TTCL) also lost millions of shillings through thefts of telephone wires and cables. In one incident, a number of suspects were found in possession of six tonnes of stolen telephone wires, he noted.

He said over 500 litres of transformer oil and hundred tonnes of transmission wires were impounded by police after the arrest of suspects during the same period. According to the RPC, a record of 223 various types of firearms including rifles, pistols, gobores (locally made guns) and shotguns being recovered from wrong hands with Mbozi District leading in the illegal possession of firearms.

Mr Kova noted that apart from the application of community policing, other means, including roadblocks, the ant-robbery and intelligence units were used in arresting over 1,500 suspected criminals during the year.
 
Back
Top Bottom