Digaller
JF-Expert Member
- Oct 20, 2009
- 868
- 784
Nilipata Bahati Ya Kuchat Na Msanii Wa Bongo Fleva Jay Dee Kupitia Facebook Na Nilitaka Kujua Yeye Kama Mmoja ya Wasanii Wenye Mafanikio Sana Hapa Nchini Nini Maoni, Mtazamo na Kama anaijua JamiiForum Vizuri.
Maongezi Yetu Yalikuwa Hivi.
MIMI: Wats up JD?
JD : Poa, Mzima wewe?
MIMI: Me Mzima, Kwanza Pole kwa usumbufu ila nilitaka kujua kama unaijua JamiiForum?
JD : Ndio Naijua.
MIMI: Unaizungumziaje Jamii Forum?
JD : Ni site ya majungu sana, inapenda kufuatilia maisha ya watu binafsi, kwakweli mimi siipendi hiyo site na sitaki hata kuisikia, afu eti wanajiita Great thinkers? Kwa lipi? Je wewe ni Member?
MIMI: Ndio mimi ni member wa Jamii Forum na ndio site ya kipekee hapa TZ ambayo unaweza kukutana na kubadilishana mawazo na makundi mbalimbali ya watu, Je una mpango wa kujiunga Jamiiforum?
JD : Hapana, sifikirii na hata sidhani kama itakuja tokea.
MIMI: Nakushauri jiunge leo na utafurahia kuwa part ya Great thinkers.
JD : Lets cut out haya maongezi, sipendi kuongelea Jamii Forum na wala kuisikia.
Akalogout na ukawa mwisho wa maongezi yetu.
SWALI: Kwanini Wasanii Hawaipendi JamiiForum?
Wadau Naomba Maoni Yenu.
Maongezi Yetu Yalikuwa Hivi.
MIMI: Wats up JD?
JD : Poa, Mzima wewe?
MIMI: Me Mzima, Kwanza Pole kwa usumbufu ila nilitaka kujua kama unaijua JamiiForum?
JD : Ndio Naijua.
MIMI: Unaizungumziaje Jamii Forum?
JD : Ni site ya majungu sana, inapenda kufuatilia maisha ya watu binafsi, kwakweli mimi siipendi hiyo site na sitaki hata kuisikia, afu eti wanajiita Great thinkers? Kwa lipi? Je wewe ni Member?
MIMI: Ndio mimi ni member wa Jamii Forum na ndio site ya kipekee hapa TZ ambayo unaweza kukutana na kubadilishana mawazo na makundi mbalimbali ya watu, Je una mpango wa kujiunga Jamiiforum?
JD : Hapana, sifikirii na hata sidhani kama itakuja tokea.
MIMI: Nakushauri jiunge leo na utafurahia kuwa part ya Great thinkers.
JD : Lets cut out haya maongezi, sipendi kuongelea Jamii Forum na wala kuisikia.
Akalogout na ukawa mwisho wa maongezi yetu.
SWALI: Kwanini Wasanii Hawaipendi JamiiForum?
Wadau Naomba Maoni Yenu.