Maombi ya kazi

Maombi ya kazi

Msaga_sumu

JF-Expert Member
Joined
Aug 31, 2022
Posts
341
Reaction score
367
Wakuu habarini za wakati,

Mmi ni graduate katika fani ya uhasibu na tehama, na experience katika kazi za freelancing na marketing nimefanya freelancer azam pesa, pia mambo ya loan officer nimefanya kwenye moja ya microfinance na sasa nimejitolea auditing firm Premium Plus Association (PPA) kama auditor poa tukifanya kazi kama accountant

consultants katika baadhi ya kampuni kubwa tu hapa Tanzania. Tunajifunza sana na katika carrier namshukuru Mungu tunapata experience kubwa sana kulinganisha na elimu tuliokua nayo ya darasani. Wakuu shida yangu naomba mwenye connection na sehemu naweza fanya hata part time hasa katika shughuli za tax kama kuandaa tax returns na uhasibu hata kwa nafasi ya kujifunza tafadhari naomba nisaidie nataka ongeza ujuzi na experience katika hilo.
 
Wakuu habarini za wakati, mimi ni graduate katika fani ya uhasibu na tehama, na experience katika kazi za freelancing na marketing nimefanya freelancer azam pesa, pia mambo ya loan officer nimefanya kwenye moja ya microfinance na sasa nimejitolea auditing firm Premium Plus Association (PPA) kama auditor poa tukifanya kazi kama accountant consultants katika baadhi ya kampuni kubwa tu hapa Tanzania. Tunajifunza sana na katika carrier namshukuru Mungu tunapata experience kubwa sana kulinganisha na elimu tuliokua nayo ya darasani. Wakuu shida yangu naomba mwenye connection na sehemu naweza fanya hata part time hasa katika shughuli za tax kama kuandaa tax returns na uhasibu hata kwa nafasi ya kujifunza tafadhari naomba nisaidie nataka ongeza ujuzi na experience katika hilo.
Uko wapi nikupe kazi ya freelancing kila mteja utakayesajili nikulipe 2500 minimum wateja 10 per day
 
Back
Top Bottom