Mag3
Platinum Member
- May 31, 2008
- 13,064
- 22,757
Je kwenye kivuko cha MV Dar es Salaam pia tulichezewa akili? Kumbuka ukishaonja nyama ya binadamu huachi...ni huyu huyu Magufuli alisimamia ununuzi wa kivuko hicho kilichogharimu mabilioni kikidaiwa ni kipya!Nyie mtaendelea kuchezewa Akili kila siku
maana hamtaki kutumia Ubongo wenu kuchambua mambo,
Watu kila kukicha wanaibuka na Porojo sizizo na Mrejesho wake
Mnatakiwa mpewe mrejesho wa Bombadia kwanza kabla ya Kuzusha jingine.
Shitukeni Utawala huu mbaya kwa Wasaka Tonge
nilazima wajihami kila siku ili mjue wapo maana hoja hakuna