nipeukweli
JF-Expert Member
- Jul 16, 2012
- 656
- 348
Ati???Polisi wanatumika vibaya na serikali ,ni njaa zinasumbua wanabambikia makosa ,mimi jana Goba kanisimamisha eti tairi chafu sijaosha kaniandikia faini 30000, anaitwa INNOCENCIA huyo dada ... kwenye mkeka eti tairi mbovu wakati zipo vizuri