Kajuni
JF-Expert Member
- May 27, 2009
- 486
- 186
Wanajamvi salamu kwa wote.
Natumaini kama ni mmiliki wa chombo cha moto hususani hapa Dar e's salaam utakuwa umeisha kutana na kadhia hii.
Siku hizi askari wa barabarani wamekuwa kero kwa kuwalipisha faini kwa makosa hata madogo ambayo kama wangezingatia weledi hakuna haja ya kumlipisha dereva faini.
Hivi kwa umoja wetu hatuwezi siku moja madereva wote kususia kuendesha magari na tutembee kwa miguu ili kufikisha ujumbe kwa mamlaka husika?
Tukiendelea kukaa kimya hakika tutakufa.
Naomba kuwakilisha.
Natumaini kama ni mmiliki wa chombo cha moto hususani hapa Dar e's salaam utakuwa umeisha kutana na kadhia hii.
Siku hizi askari wa barabarani wamekuwa kero kwa kuwalipisha faini kwa makosa hata madogo ambayo kama wangezingatia weledi hakuna haja ya kumlipisha dereva faini.
Hivi kwa umoja wetu hatuwezi siku moja madereva wote kususia kuendesha magari na tutembee kwa miguu ili kufikisha ujumbe kwa mamlaka husika?
Tukiendelea kukaa kimya hakika tutakufa.
Naomba kuwakilisha.