Waberoya
Platinum Member
- Aug 3, 2008
- 15,169
- 10,786
Kwanza; Tumeonya watu kuwa waangalifu sana na kujadili CCM, kwani upepo ukibadilika watu hawa nao huwa wanabadilika. Upinzani; this is a challenge, wengi wa hawa followers ni wafuata upepo kwa mfano,. kumjadili Beno mallisa au martina shigela ili iweje? who are these poor guys? nimeona wanaojiita chama cha wapinzani wakuu, wamo humo na wanawakandia kweli...kumbe wangefanya kinyume chake wangewasifia! these guys are CCM followers..caught in the act! CCM bado iko vichwani mwao kwa vitendo na hisia, ila midomo yao wanajiita wapinzani!
Pili; huu upepo au situation iliyomo ndani ya CCM, kusemana hadharani na watu kuwasifia wakiwa sikiliza Sita, mwakyembe au Sumaye wakisema vitu kinyume na chama chao! still wapinzani au maadui wa CCM wanafurahia sana hili swala..TENA WANAWASIFIA mno.
Turudi nyumbani
Turudi chamani
Je vyama hivi vya upinzani member wao mmoja akisema kinyume au nje ya chama, huwa anachukuliwaje?? msaliti, mwongo, ...mzushi.....mkweli??
Tafakari
Ukienda kulia na kushoto, utakuta wengi HATUONGOZWI NA KANUNI tuna double standard
kwa hali hii CCM ikItulia na ikaponea chupuchupu kutoparaganyika then CCM inaonekana kidemokrasia iko mbali na imeacha vyama vingine mbali mno..huu ni ukweli!
Kwenye upinzani bado hakuna uhuru wa mawazo na KUTOFAUTIANA KICHAMA WATOFAUTIANE CCM, WAKITOFAUTIANA ndani ya vyama vingine HAITAKIWI!! mathalani moto huu wa uonaouchoma CCM, chadema will never sustain even a second!! sound true eeh!
Walichosema UVCCM ndio dhana na wengi akina chadema-JF huwa mnasema pindi mmoja wa viongozi wenu akisema nje ya chama! Je tofauti yenu ni nini?? meza hilo!
ukiishi kwa kanuni RAHA!!
Just evaluate yoursefl
Msema ukweli daima!
Matusi proof
Waberoya
Pili; huu upepo au situation iliyomo ndani ya CCM, kusemana hadharani na watu kuwasifia wakiwa sikiliza Sita, mwakyembe au Sumaye wakisema vitu kinyume na chama chao! still wapinzani au maadui wa CCM wanafurahia sana hili swala..TENA WANAWASIFIA mno.
Turudi nyumbani
Turudi chamani
Je vyama hivi vya upinzani member wao mmoja akisema kinyume au nje ya chama, huwa anachukuliwaje?? msaliti, mwongo, ...mzushi.....mkweli??
Tafakari
Ukienda kulia na kushoto, utakuta wengi HATUONGOZWI NA KANUNI tuna double standard
kwa hali hii CCM ikItulia na ikaponea chupuchupu kutoparaganyika then CCM inaonekana kidemokrasia iko mbali na imeacha vyama vingine mbali mno..huu ni ukweli!
Kwenye upinzani bado hakuna uhuru wa mawazo na KUTOFAUTIANA KICHAMA WATOFAUTIANE CCM, WAKITOFAUTIANA ndani ya vyama vingine HAITAKIWI!! mathalani moto huu wa uonaouchoma CCM, chadema will never sustain even a second!! sound true eeh!
Walichosema UVCCM ndio dhana na wengi akina chadema-JF huwa mnasema pindi mmoja wa viongozi wenu akisema nje ya chama! Je tofauti yenu ni nini?? meza hilo!
ukiishi kwa kanuni RAHA!!
Just evaluate yoursefl
Msema ukweli daima!
Matusi proof
Waberoya