mtana76
JF-Expert Member
- May 31, 2015
- 517
- 437
Maji ya gesi hayo jamani kama mtu kajipanga amchukulie mke wake au mpenzi wake halafu asikilizie hilo pupwe lake ..ni ghali lakini tamu .
Fanya maisha mkuu achana na maisha ya ku-act,perfumes za Tsh150,000/=+ wanatumia walioshajijenga kimaisha fanya kwa uwezo wako usilazimishe utajiumiza..kuwa smart ni muhimu but kwa kiasi ishi vile unaweza sio unatokea kwenye chochoro za kwa Mtogole au sijui Manzese kwa Mfugambwa kwenye kachumba kamoja kakupanga kanakofanana na store huku unanukia uturi wa 150,haileti maana ishi hivyo unatoka kwenye nyumba yako.zipo za bei rahisi 25,35&40 ni nzuri unanukia masaa zaidi ya 20 zitafute hizi zitakufaa.Mkuu utanifanya nibaki kwenye za elfu 3, 150 yote
Fanya maisha mkuu achana na maisha ya ku-act,perfumes za Tsh150,000/=+ wanatumia walioshajijenga kimaisha fanya kwa uwezo wako usilazimishe utajiumiza..kuwa smart ni muhimu but kwa kiasi ishi vile unaweza sio unatokea kwenye chochoro za kwa Mtogole au sijui Manzese kwa Mfugambwa kwenye kachumba kamoja kakupanga kanakofanana na store huku unanukia uturi wa 150,haileti maana ishi hivyo unatoka kwenye nyumba yako.zipo za bei rahisi 25,35&40 ni nzuri unanukia masaa zaidi ya 20 zitafute hizi zitakufaa.
Rubii Jamaniiiii!
perfume yenyewe unakuta mtu amejinyima miezi mitatu anazichanga ili ainunue,lazima aweweseke.Vibaka wakivunja mlango unaweza upate pressure, majirani wakikuuliza umeibiwa nini husemi, unaona aibu kuwaambia wamelamba perfume ya sh.200,000
Sasa ww unataka inayopendwa na wadada au unayoipenda wwRomance 4 men....wadada wanaipenda sana
Body spray zake hazipatikani cku izi zimebaki perfume elfu 15One milion original bei yake laki moja na nusu
elfu 15 one milion dollar sidhani kama kuna tofauti na hizo za laki.Mkuu utanifanya nibaki kwenye za elfu 3, 150 yote
Elfu 7000=7,000,000.Ukipata kampuni ya lous cardinal fleva ya Amen au Compassion ni nzuri sana
Bei haizid elfu 7000-6000
Elfu 7000=7,000,000Kwa pesa yako ya madafu nunua chastity elfu 7000