msukuma fekero
JF-Expert Member
- Aug 12, 2017
- 2,252
- 2,901
Mmetapeliwa tu hapo labda mtumie wenyewe ila hakuna anayenunua
Wautumie wenyewe kuunywa au??Mmetapeliwa tu hapo labda mtumie wenyewe ila hakuna anayenunua
Watajua wenyewe mara waseme ni dawa ,wengine waseme mbolea kuzidi NPK ni utapeli mtupuWautumie wenyewe kuunywa au??
HahaaaaaaaaaMkojo wa what???
Hao matapeli wanataka wakuuzie sungura 200000 halafu wewe uwauzie wakizaliana pamoja na mkojo mwishowe wanafunga ofisiAwatafute watu wa Namaingo wao ndio usema kuna soko, huenda wakamsaidia. Poleni sana kwa Tengeru hakuna wateja wa hiyo product
nitafte kwa Namba 0788379310 nikupe akili yakuukusanyaDuh nina sungura wengi tu ..sasa mkojo nitaukusanya vip wakuu ....kumbe ni dilii
Sent using Jamii Forums mobile app
apo ndipo shida inakuja mtu nipo Mbeya Hadi sUA sasa si mtiani huo sema kama na ww unauzaga na Una Contact zao utupatieNi kweli soko lipo tena la uwakika
Nenda pale chuo cha kilimo SUA Morogoro wananunua 5Lts = 100,000/=
Note: Lazima uwe pure.
Sent using Jamii Forums mobile app