Mkomavu
JF-Expert Member
- Jan 25, 2016
- 11,753
- 16,743
Jos unamiliki gari gani mkuu???Manual car is the best
Jos unamiliki gari gani mkuu???Manual car is the best
Me similiki gari,huwa naendeshaga tu zile nissan patrol na mara chache sana ivecoJos unamiliki gari gani mkuu???
Hahahaa josMe similiki gari,huwa naendeshaga tu zile nissan patrol na mara chache sana iveco
Wewe je saranga unamiliki gari gani?Hahahaa jos
Mimi sina gari mkuu wanguWewe je saranga unamiliki gari gani?
Niweke picha yake hapa?Mimi sina gari mkuu wangu
Picha yangu au ya gari??Niweke picha yake hapa?
Tunazungumzia gari lako hapa,Picha yangu au ya gari??
Mimi sina gariTunazungumzia gari lako hapa,
Ndo nakuuliza niweke picha yake hapa?Mimi sina gari
Aiseee wewe uliweke nilioneNdo nakuuliza niweke picha yake hapa?
Ngoja kwanza foleni imeruhusu..Aiseee wewe uliweke nilione
Nenda kwenye file zako nadhani utaliona gari langu lipo hukoNgoja kwanza foleni imeruhusu..
Badae nitaweka
Bado uko kwny foleni.Ngoja kwanza foleni imeruhusu..
Badae nitaweka
hahaha! we jamaa umenifurahisha.Hii ndio manual halisi. Ukila chips lazima ukimbie gari.View attachment 954332
Zipo nyingi tu... Google uzione.halafu sidhani kama kuna gari ndogo zinatoka ambazo ni Manual. transmission kwa sasa
kama ipo ipo nitafutie IST manual mkuuu
Hivi manual transmission ni pamoja na leyland cd unanyonga usuka mbaka mbavu zinaumamkuu manual zinakupiga chenga nini?