Mansour aswekwa rumande

Mansour aswekwa rumande

Hawa Viongozi wa CUF Inakuaje wanashawishi wazanzibari wasitumie haki yao ya Msingi ya kupiga kura? Kuhujumu Uchaguzi kwa kushawishi au kutisha Wazanzibar wasishiriki uchaguzi wa kuchagua Viongozi ni nusu ya Uhaini.
 
Hawa Viongozi wa CUF wapuuzi sana, inakuaje wanashawishi wazanzibari wasitumie haki yao ya Msingi ya kupiga kura? Kuhujumu Uchaguzi kwa kushawishi au kutisha Wazanzibar wasishiriki uchaguzi wa kuchagua Viongozi ni nusu ya Uhaini.
hawawezi kushiriki kupiga kura kwasababu viongozi wao wanaowapenda hawashiriki sasa wakamvhague nani?
pigeni kura ninyi ccm peke yenu na waume zenu tu.kwanini muwalazimishe ilihali mtu ana maamuzi yake ya kwenda au kutokwenda?
 
Ngoja nifungue akaunti nyingine kwa jina la fyokofyoko ila sina hakika kama invisible ataniruhusu
 
Mbona utawala huo ulifanikiwa Libya kwa miaka mingi na hata iraq? Achen maneno hayo. Hatutak zanz iangukie mikonon mwa magaidi.

Siku zote Utawala wa Mabavu haufanikiwi milele , hata Sadam Hussein alishindwa sembuse hao wa Tamganyika .
 
Tunaomwombea Triumph,.tuzidi kumwombea kwa hali na mali,......
Afrika demokrasia ipo ktk makaratasi tu,..viongoz wanajibinafsisha nchi.....
 
Kama CUF Walishasema Hawatashiriki Uchaguzi Huo Wa Marudio, Coz Hakuna SHERIA Yoyote Inatoa Nafasi Ya ZEC Kufuta Matokeo Ya Uchaguzi Na Kutangaza Kurudia Tena (Achana Na Kutokuwepo Na Sababu Za Msingi, Hata Kama Zingekuwepo) !! Sasa Kama CCM Wamepewa Nafasi Ya Kufanya Uchaguzi Wao (Kumuhidhinisha Dkt Shein) Bila Ya Kubughudhiwa Na Chama Hicho (CUF) Sasa Kwanini Kila Siku Mnawakamata Viongozi Na Wanachama Wao!! Si Mjipange Tu Kugawana MADARAKA Yenu!!!
 
Doo hili song:

√πAlfajiri upepo wa bahari unanukia,
Ninaona nyota ya kanda ya mashariki,
Kuishi visiwani mama kuna utamu wake, sauti ya pemba Zanzibar visiwa vya kwetu eeh^°π .....

CHORUS:
Nasikia ni kuzuri, jioni kuna upepo,
Upepo unanukia, marasho ya karafuu,
Nipae angani ama kikatishe bahari....
 
Doo hili song:

√πAlfajiri upepo wa bahari unanukia,
Ninaona nyota ya kanda ya mashariki,
Kuishi visiwani mama kuna utamu wake, sauti ya pemba Zanzibar visiwa vya kwetu eeh^°π .....

CHORUS:
Nasikia ni kuzuri, jioni kuna upepo,
Upepo unanukia, marasho ya karafuu,
Nipae angani ama kikatishe bahari....
Maestro Ndala kasheba
 
Magufuli alishasema mtu akileta fyoko fyoko iwe pemba,unguja ,mwanza au popote pale ata tandikwa!

Hivyo ukileta choko choko usitegemee kuachwa hivi hivi hata Maalim seif akileta fyoko fyoko akiwa bara lazima adhibitiwe...

Tuache jeshi letu liwadhibiti waleta fyoko fyoko...
Mkuu nina chelea kusema kuwa sasa tumelewa amani na uvumilivu wa watanzania.
Nchi haiongozwi kwa ubabe na vitisho, tunaunga mkono juhudi zinazo fanywa na wananchi kudumisha amani kwani viongozi wetu hili limewashinda kwani wameweka masilahi yao kwanza.
Tuwe waangalifu kwani siku zote "majuto ni mjukuu".
 
hawawezi kushiriki kupiga kura kwasababu viongozi wao wanaowapenda hawashiriki sasa wakamvhague nani?
pigeni kura ninyi ccm peke yenu na waume zenu tu.kwanini muwalazimishe ilihali mtu ana maamuzi yake ya kwenda au kutokwenda?

Kama umeamua kutoa timu uwanjani basi tulia nyumbani ungalie luningani wenzio wanavofanya vitu vyao uwanjani, fyokofyoko na vurugu za nini? Kamsaidieni katika uchunguzi wa polisi wanataka kujua mawasiliano yao hao haya
image.jpg
 
Magufuli alishasema mtu akileta fyoko fyoko iwe pemba,unguja ,mwanza au popote pale ata tandikwa!

Hivyo ukileta choko choko usitegemee kuachwa hivi hivi hata Maalim seif akileta fyoko fyoko akiwa bara lazima adhibitiwe...

Tuache jeshi letu liwadhibiti waleta fyoko fyoko...

Hapa KIAZI tu
 
utakuwa bwabwa wewe. hivi simmeshaambiwa kuwa CUF hawashiriki uchaguzi na nendeni mkapige kura peke yenu? tunatakiwa tuipende Tanzania kwanza ndo vyama vyetu. sasa mmeachiwa goli wazi mfunge magoli mtakavyo kinachowafanya mpeleke majeshi huko pemba kwenda kuua/kuumiza raia wasio na hatia ninini? sen'ge wewe.
Unafikiri uchochezi mnao ufanya haunekani? kwanini msikae kimya kama mmejitoa nini kina wafanya muendelee kutoa matamko ya kuwatisha watu?
 
hivi kwanini nembo ya polisi isiwe jembe na nyundo ? mmeachiwa mshinde kwa 100% bado mnanyanyasa watu , mnataka nini ?
 
Magufuli alishasema mtu akileta fyoko fyoko iwe pemba,unguja ,mwanza au popote pale ata tandikwa!

Hivyo ukileta choko choko usitegemee kuachwa hivi hivi hata Maalim seif akileta fyoko fyoko akiwa bara lazima adhibitiwe...

Tuache jeshi letu liwadhibiti waleta fyoko fyoko...
Ningekuona kidoog una akili kama walau ungeonesha mfano mdogo tu wa fyoko fyoko alioionesha huyu jamaa hata wamuweke ndani?
 
Mshauri wa Maalim Seif mbaroni

Jeshi la Polisi linamshikilia Mansoor Yussuf Himid ambaye ni Mshauri wa Katibu Mkuu wa Chama Cha Wananchi (CUF) Maalim Seif Hamad.

Mansoor Yussuf Himid ambaye ni Mshauri wa Katibu Mkuu wa Chama Cha Wananchi (CUF) Maalim Seif HamadMansoor Yussuf Himid ambaye ni Mshauri wa Katibu Mkuu wa Chama Cha Wananchi (CUF) Maalim Seif Hamad

Mansoor alipigiwa simu jana jioni na kuitwa na jeshi la polisi katika kituo cha Madema kwa ajili ya mahojiano akishutumiwa kuhusika na mambo mbali mbali ikiwemo suala la kuripuliwa kwa Maskani ya Chama Cha Mapinduzi (CCM) Kisonge Michenzani Mjini Unguja.
 
Kama CUF Walishasema Hawatashiriki Uchaguzi Huo Wa Marudio, Coz Hakuna SHERIA Yoyote Inatoa Nafasi Ya ZEC Kufuta Matokeo Ya Uchaguzi Na Kutangaza Kurudia Tena (Achana Na Kutokuwepo Na Sababu Za Msingi, Hata Kama Zingekuwepo) !! Sasa Kama CCM Wamepewa Nafasi Ya Kufanya Uchaguzi Wao (Kumuhidhinisha Dkt Shein) Bila Ya Kubughudhiwa Na Chama Hicho (CUF) Sasa Kwanini Kila Siku Mnawakamata Viongozi Na Wanachama Wao!! Si Mjipange Tu Kugawana MADARAKA Yenu!!!

MAMLAKA YA JECHA KUUFUTA UCHAGUZI.

Siku Jecha anafuta matokeo yale ya Uraisi pomoja na kutaja sababu nyingi za kuufuta Mimi nitaelezea moja tu kikatiba.

Jecha alidai kuwa ndani ya tume kuna watu waliokuwa wakipigana , hiki ni kiashiria tosha kuwa wajumbe wa tume wamejiunga na vyama vya siasa.

Ibara ya 14 katika sura ya pili ya katiba yetu inakataza wajumbe wa tume kujiunga na chama chochote japokuwa wana ruhusa ya kupiga kura. Kwa maana hiyo Jecha Alikuwa sahihi kuufuta uchaguzi ule.

UHALALI WA UCHAGUZI HATA KAMA BAADHI WATAJITOA.

Chama cha wananchi Cuf wanasema hawatashiriki uchaguzi wa marudio japokuwa Tume ya uchaguzi Zanzibar wanadai wapo nje ya sheria kwenye kujitoa.

Kwa mujibu wa katiba ya Zanzibar sura ya nne sehemu ya kwanza Ibara ya 2 inafafanua kuwa:-

Litokeapo jambo lolote lililotajwa katika katiba na kulazimu uchaguzi wa raisi kufanyika, kila chama cha siasa kinachopenda kushiriki katika uchaguzi wa raisi kitawasilisha kwa tume yabuchaguzi ya Zanzibar kwa mujibu wa sheria jina la mwanachama wake mmoja atakayesimama kama mgombea uraisi.

Hapa hawakutaja kuwa ni lazma vyama vyote vishiriki bali katiba inadai kuwa chama kinachotaka kushiriki. Cuf kujitoa huku vyama vingine vikikubali kushiriki bado uchaguzi unabaki kuwa halali kabisa.

Si lazma Cuf washiriki ndio uchaguzi uwe halali.Mpaka hapa bado Cuf katika mazingira yoyote yale wapunguze jazba na waombe busara itumike zaidi kuliko sheria.

Na ni vigumu sana kuendesha nchi kwa kufuata busara badala ya kanuni na sheria tulizojiwekea.

BAADHI YA VYAMA VYA UPINZANI KUNUFAIKA NA CUF. KUTOKUSHIRIKI.

Hadi sasa kuna watu wanaowinda nafasi ya Umakamu wa kwanza wa Raisi wa Zanzibar ambapo katiba ya Zanzibar inajipambanua wazi kuwa chama kitakachofuatia kwa kura nyingi kwenye uchaguzi mkuu nyuma ya chama kitakachoshinda ndicho kitakachotoa makamu wa kwanza wa raisi.

Wakati Cuf wakinekana kama kitanzi kwao kwa kipengele hiki kuwaweka njia panda ya kushiriki uchaguzi au kuacha kwa upande wa Hamad Rashid yeye kipengele hiki anakitazama kwa umuhimu mkubwa zaidi na anatamani kunyakua nafasi hiyo nyeti kabisa kwenye serikali ya SUKI.

KATIBA YA ZANZIBAR INASEMAJE KUHUSU MAKAMU WA KWANZA WA RASI??.

Ibara ya 39 (3) ya katiba ya Zanzibar inampa mamlaka Rais aliyechaguliwa kuteua nani awe makamu wa kwanza wa rais ambapo mamlaka hayo atayapata endepo tu :-

i) Kama chama kilichofuata kwa wingi wa kura nyuma ya chama kilichoshinda kitakuwa kimepata kura chini ya asilimia 10 ya kura zote zilizopigwa. Katika hali hiyo katiba inampa uhuru raisi mteule kumteua mtu yoyote anayeona anafaa.

ii) Kama Raisi hakuwa na mpinzani basi chama cha upinzani kilichofuatia kwa wingi wa viti kwenye baraza la wawkilishi kitatoa makamu wa kwanza wa raisi.

Kwa Maelezo zaidi soma:-
cuf.jpg
 
Back
Top Bottom