Mansour aswekwa rumande

Mansour aswekwa rumande

Unafikiri uchochezi mnao ufanya haunekani? kwanini msikae kimya kama mmejitoa nini kina wafanya muendelee kutoa matamko ya kuwatisha watu?
hivi kwanini nembo ya polisi isiwe jembe na nyundo ? mmeachiwa mshinde kwa 100% bado mnanyanyasa watu , mnataka nini ?
 
Kila mtu apewe haki yake,kadri inavyostahili,ukileta uhuni pata kipigo,then kalalamike kwa wazungu,
Hakuna haki bila wajibu,na nadhani nyie mwajiona bora kuliko watu wengine,
 
hivi kwanini nembo ya polisi isiwe jembe na nyundo ? mmeachiwa mshinde kwa 100% bado mnanyanyasa watu , mnataka nini ?
Popobawa wapemb@ washawaachilia...inasemekana maskari wanarudi bars wana harish@ hatariii....

Ovaa
 
Back
Top Bottom