huku nako ndio kuchanganyikiwa kwa Mr President, hivi kweli ni jukumu la rais kutoa matibabu kwa mtu mmoja mmoja au kwa kuwa according to our standards hawa noa ni ma celebrities? si angewajulisha tu kitengo cha maafa ya taifa kisichokua na kazi yoyote ya kufanya maana hata majanga yanaishia kuchangiwa na wafanyabiashara na mabenki, michango kwa wahanga wa mafuriko, wa mabomu, sasa hawa sijui tutawaita wahanga wa Manji ama ukata. It serves them right maana vijana tunapenda sana kutumiwa, after all sasa hata huelewi wanafanya nini, si hawa wala wakina bambo wa kule kwa mengi, ukiuliza kisa utachoka wewe