Manji sema usiposema...


Duh!

Kama ni kweli basi atakuwa ni bonge la zumbukuku.

Hajui kuwa sasa kuna sheriff mpya hapa mjini?
 
Mwenzie aliona mapeeema kabisa hali si hali, akauza kampuni akaachia na ngazi kwenye kilabu cha soka maarufu hapa nchini akatimua
 
Duh!

Kama ni kweli basi atakuwa ni bonge la zumbukuku.

Hajui kuwa sasa kuna sheriff mpya hapa mjini?
Nyani Ngabu umenena sawa kabisa na WaTZ tuna vichwa vilivyojaa maji hatusomi alama za nyakati.

Polisi wanatangaza kufuata sheria pasipo shurti, sisi ni sikio la kufa hatusikii dawa.

Awali tulidai na kulalamikia kwamba vyombo husika havisimamii utii wa sheria. Sasa vyombo hivyo vinatimiza wajibu wake NAMBA TUNAISOMA.

Wenzetu humu tujihadhari na maneno au lugha tunayotumia, pamoja na kuandika mambo tusiyo kuwa nayo uhakika, tutaisoma namba. Na ukifikishwa huko ni wewe peke yako, ukiacha nyuma familia yako kwenye mashaka na majonzi.
 
Jamaa anasafisha masaria ya mkwere na lowasa, ila sizani kama atayamaliza atastukia uchaguzi tu ushafika hivyo na kubakiwa na mbinu moja tu ya kupora ushindi ili aendelee kutawala.

kuna ka ukweli hapa noted.
 
Angekuwa kuwa ni mlalahoi ndiye aliyekamatwa na uniforms za jeshi bado mngeona kaonewa au kwa sababu ni tajiri ndio mnaona kaonewa?!

Tuache tabia ya kuona jela ni za maskini tu!!

double standard.
 
Manji si Diwani wa CCM? Mbona anapeta shida kama Mbowe? Hata hivyo Manji hatokaa amsahau RC wa Dar 2017. Alijidai kuzoza naye badala ya kufagia Nyumba yake.

Mali zimekutwa kwenye Maghala ya Quality Group, kesi kafunguliwa Yusuph ambae Officially alishatangaza kuachia Ngazi Quality Group na kubaki Mshauri tu!

Hii kesi ni Nyepesi sana Kama Mahakama zingekuwa zinaendeshwa kisheria sio Ki amri
 
Nawaza hivi Mo Dew, Mengy, Abu ud, Barehhessa watakuwa wanawaza nini wanapoona haya yanayotokea kwa Josefu Minja na Frimani Mbowwe
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…