nzagambadume
JF-Expert Member
- Apr 9, 2018
- 2,430
- 5,769
naam ni tarehe 15 january na kwa mujibu wa baraza la wadhamini chini ya waziri mkuchika walisema manji leo anarudi ofisini
kinywa cha mzee kinanuka lakini hakisemi uongo,wanayanga mjitokeze kwa wingi kwenda kumpokea mwenyekiti akirudi ofisini kwake leo 15 january 2019
kinywa cha mzee kinanuka lakini hakisemi uongo,wanayanga mjitokeze kwa wingi kwenda kumpokea mwenyekiti akirudi ofisini kwake leo 15 january 2019