Leo 04 December 2018,Halmashauri ya Manispaa ya Ubungo kupitia *Mstahiki meya Boniface Jacob na Mkurugenzi Beatrice Dominic Kwai* , wameingia Mkataba wa Makubaliano ya Ujenzi wa Makao makuu yake na *Wakala wa Majengo ya Serikali Tanzania (TBA)* kupitia kwa Kaimu Meneja Wake wa TBA mkoa wa Dar es Salaam,Bw Edwin Geofrey
Manispaa imeingia Mkataba huo Na TBA Kujenga na kukabidhi Jengo hilo ndani ya Mwaka Mmoja,Jengo la Kisasa litakalo Kuwa na Ofisi 104,Na ya ghorofa yenye floor nne,Katika kiwanja chake chenye ukubwa wa Ekari nne eneo la Kwembe Luguruni.
IMETOLEWA Na
OFISI YA MSTAHIKI MEYA
MANISPAA YA UBUNGO
Manispaa imeingia Mkataba huo Na TBA Kujenga na kukabidhi Jengo hilo ndani ya Mwaka Mmoja,Jengo la Kisasa litakalo Kuwa na Ofisi 104,Na ya ghorofa yenye floor nne,Katika kiwanja chake chenye ukubwa wa Ekari nne eneo la Kwembe Luguruni.
IMETOLEWA Na
OFISI YA MSTAHIKI MEYA
MANISPAA YA UBUNGO