Manispaa ya Moshi yaongoza kuwa na wasomi wengi Tanzania

its true wa2 wa mosh wana mwamko mkubwa wa elimu na c kutokana na ccm coz ccm ni kama imekufa mosh imepoteza mvuto sinc 1992 am nt chaga bt i grew up an iwent 2 skul there
 
Watu wa Moshi wapo fasta katika kila eneo ndiyo maana ukitafuta hata takwimu za majambazi waweza kuta wanaongoza

Hahahahaaa....Kule cha kwanza unasisitizwa shule...kusoma...Ukishindwa unafundishwa biashara...ukishindwa unapaswa ujaribu hiyo hapo kwenye RED ikishindikana unatengwa...
 
mkuu kuna wakati kulikuwa na move ya kutafuat sehemu ya kuhamia ikapelekea vijana wengi wakakimbilia Tanga hasa Handeni ila ni wachache sana walioweza kuhimili haya mazingira wengine waliishia kukimbia ila nimefanya survey kuna sehemu huku mkuranga na baadhi ya sehemu za Kondoa mpakani na babati kuna mazingira kama ya moshi hivi so ni vyema wenzangu tukahamia huko.karibu huku kwetu mazima/kwa mathias kibaha kuna mathari mazuri na pia ardhi ni nzuri sana na ina rutuba heka one million

issue ya Kilindi-Tanga ilikuwa complex vijana wengi waliwatuma wazee wao wakawashikie mashamba matokeo yake ule ugonjwa unaoenezwa na mbu jike ukawasumbua kweli kweli! hata hivyo walioweza kusurvive wanaendelea vizuri na kilimo cha mahindi. Na wapo vijana ninaowafahamu ambao wamehamia huko kabisa.
 
issue ya Kilindi-Tanga ilikuwa complex vijana wengi waliwatuma wazee wao wakawashikie mashamba matokeo yake ule ugonjwa unaoenezwa na mbu jike ukawasumbua kweli kweli! hata hivyo walioweza kusurvive wanaendelea vizuri na kilimo cha mahindi. Na wapo vijana ninaowafahamu ambao wamehamia huko kabisa.
mkuu hii ishu ilimpoteza mdogo wake rafiki yangu hivihivi.
 
Recent studies indicate that moshi urban district has the highest literacy rate for person over 15 years of age comapared to any of the other 128 districts in Tanzania.Therefore, Moshi will be the last place where census exersize is likely to run into problems.It is a town where every person is educated.
Source: Daily News - 6/8/2012

Hongera sana wana Moshi .Moshi ni sehemu ambayo kuna Ngo's nyingi sana so uhamasishaji ulianza zamani sana mwishoni mwa miaka ya 1980 na mwanzoni mwa miaka ya 1990. Pia ikumbukwe Ms kuna watu kutoka mikoa mingine wengi sana ambayo ni wafanyakazi katika mji huo, so inachangia kuleta na kupanua huduma za jamii hususani elimu kukidhi haja .
 
una akili sana jamaa angu, unaonaje 2015 ukajitosa kwenye kinyanganyiro cha MB? hata hivyo
Mr Gama did not mince words in describing how this year's census was for the first time experiencing controversies as different groups were coming up with complications likely to stifle the efforts and split the nation on basis of religious, political or social factions. But Moshi will be the last place where the Census exercise is likely to run into problems. It is a town where every person is 'educated.' Recent studies indicate that Moshi urban district has the highest literacy rate for persons over 15 years of age when compared to any of the 128 other districts in Tanzania
Mtoa mada naye katuchanganya mara tunaona ni Mkuu wa Mkoa L. Gama ndo kasema Moshi itakuwa sehemu ya mwisho katika zoezi la Sensa na huenda ikaingia ktk matatizo kwani kila mtu hapo mjini anajifanya kujua (msomi) na Moshi mjini cha waliosoma /elimika kwa walio zaidi ya miaka 15 kulinganisha na wilaya 128
Jamani hao waliozidi miaka 15 elimu yao ni ipi huko kujishughulisha na kupiga rangi viatu na kutengeneza saa? au kushuka na maparachichi kichwani Huko Moshi mjini kila siku asubuhi. Mji wenyewe hauna watu kabisa kwani ikifika usiku hakuna wakazi km Mchana, kwa hiyo wangesema ni vigumu kuhesabu wakazi wa Moshi mjini kwa sababu hawatulii mahali pamoja na wameenea kote TZ ktk wilaya 128 (stop)
Kila wilaya hapa nchi ina wakazi wa Mkoa huo na wilaya hiyo inasimamiwa na Chadema kwa hiyo hii mada sijui ina makidai ya ainagani ngiwore Mondo na iyowe foo nukundi mabosti ya nghany mbee
 
mimi nimojawapo ya wafanyaji watafiti,kwa moshi inaongoza kwakuwa na wasomi wengi ukilinganisha na mikoa yote niliyofanyia tafiti zangu.Kule ilimu imepewa kipaumbele sana kuliko mambo mengine yoyote,na kwasasavi ktk nyumba yenye watu 4 wenye umri kati ya miaka 16-30 wa wili mpaka watatu wamepata elimu ya secondary.

unachokisema ni kweli na hata ukitaka kuagalia moshi ndiko sehem ambayp hadi miaka ya 1990 kila eneo lilikuwa a shule za sekondari ambazo pia zilikuwa zina somesha idadi kubwa ya watoto wa maeneo hayo. mfano machame kulikuwa na machame girls na lyamungo, kibosho kuna weruwru na umbwe rombo kulikuwa na mkuu sekondari marangu kuna ashira girls same same boys bado za seminary kama maua, na uru seminary na st joseph. bado uje uweke za makanisa kama kibosho girls, kiraeni, kolila, uroki, masama girls, kibosho nsoo na zile za watukutu kama kilimanjaro boys sijui kama ipo manake khaa! na kibohehe ama st margeth.

wengi wa wanafunzi kwenye hii shule walikuwa ni wachagga ishu ni kwamba siku hizi mbona usomi wao hauonekani? wamekuwa wabinafsi kiasi kwamba bora wasingesoma kabisa kijulikane. wengi wa hawa wameishia kuwa wafanya biashara tu na elimu yao imekomea sana form 4 kuendelea vyuoni siwaon ama wapo bado?
 
mimtu mingine bana mtu kaleta uzi ambao hausishi vyama vya siasa lakini ,mimtu kwa kuchafua hali ya hewa yanaleta siasa...daahh
 
unachokisema ni kweli na hata ukitaka kuagalia moshi ndiko sehem ambayp hadi miaka ya 1990 kila eneo lilikuwa a shule za sekondari ambazo pia zilikuwa zina somesha idadi kubwa ya watoto wa maeneo hayo. mfano machame kulikuwa na machame girls na lyamungo, kibosho kuna weruwru na umbwe rombo kulikuwa na mkuu sekondari marangu kuna ashira girls same same boys bado za seminary kama maua, na uru seminary na st joseph. bado uje uweke za makanisa kama kibosho girls, kiraeni, kolila, uroki, masama girls, kibosho nsoo na zile za watukutu kama kilimanjaro boys sijui kama ipo manake khaa! na kibohehe ama st margeth.

wengi wa wanafunzi kwenye hii shule walikuwa ni wachagga ishu ni kwamba siku hizi mbona usomi wao hauonekani? wamekuwa wabinafsi kiasi kwamba bora wasingesoma kabisa kijulikane. wengi wa hawa wameishia kuwa wafanya biashara tu na elimu yao imekomea sana form 4 kuendelea vyuoni siwaon ama wapo bado?

sasa inachukua wavulana kwa advanced school tu combination zote na vijana siyo wakorofi tena , si unajua vurugu zilikuwa zinaletwa na O-Level? wamekuwa kama kuku wa kisasa maana hata Kiraeni girls hawawezi kwenda tena usiku!
 
sasa inachukua wavulana kwa advanced school tu combination zote na vijana siyo wakorofi tena , si unajua vurugu zilikuwa zinaletwa na O-Level? wamekuwa kama kuku wa kisasa maana hata Kiraeni girls hawawezi kwenda tena usiku!

khaaa! aisee basi wamekua kweli.
 
sijackia watoto wa kazi wakitolewa moshi kuja kufanya kazi dar bali nasikika wanatoka kule kwenye kilima kinachoua sana baada ya mikumi......................Infact Moshi kila kata ina shule mbili zasecondary ni ni vigumu kumkuta mtu hajampeleka mtot wake shule.Tatizo sas linakuwa ni ardhi.Nitafanya lobbying na watu angalau tuweze kuwahamisha baadhi wa watu tuwapeleke lindi mtwara pwani,rukwa ili waache kugombania ardhi

Nina mahouse girl 2;wote nimewatoa Moshi.1.Rombo,2 kibosho.
 
sijackia watoto wa kazi wakitolewa moshi kuja kufanya kazi dar bali nasikika wanatoka kule kwenye kilima kinachoua sana baada ya mikumi......................Infact Moshi kila kata ina shule mbili zasecondary ni ni vigumu kumkuta mtu hajampeleka mtot wake shule.Tatizo sas linakuwa ni ardhi.Nitafanya lobbying na watu angalau tuweze kuwahamisha baadhi wa watu tuwapeleke lindi mtwara pwani,rukwa ili waache kugombania ardhi

kweli kabisa mkuu, mimi ni shahdi kwenye kata yetu kuna shule 5 za sekondari, nne za serikali 1 ya kkkt.
 
Nina mahouse girl 2;wote nimewatoa Moshi.1.Rombo,2 kibosho.

unaposema uwongo unatakiwa kuwa na kumbukumbu vile vile! inakuja akilini kweli mtu una mahousegirl wawili(2), mmoja(1) atoke ROMBO na wawili(2) KIBOSHO? hiyo hesabu inakuwaje hapo,Isitoshe mchaga anafanya kazi kwa malengo usijeshangaa baada ya muda wakawa maboss wako kama ni kweli.
 
Back
Top Bottom