Lord OSAGYEFO
JF-Expert Member
- Feb 19, 2021
- 3,086
- 4,881
Mh. Waziri wa ardhi nakuomba ufuatilie mgogoro wa ardhi Kizwite manispaa ya Sumbawanga unaosababishwa na maafisa ardhi wala rushwa kwa kushirikiana na matapeli wa viwanja mimi ni mmoja wa wamiliki wa hivyo viwanja nilikinunua manispaa katika mradi wao wa upimaji viwanja.
Mwaka 2004 Manispaa iliwataa mashamba na kuwalipa fidia wahusika na ofisi ya mkuu wa wilaya ilihusishwa kusaini majedwali ya fidia kisha kupima viwanja na tukauziwa na kumilikishwa kwa hati milki ya miaka 66.
Limeibuka kundi la matapeli wanadai wazazi wao ambao eti ni marehemu hawakulipwa fidia mwaka 2004 maafisa ardhi wamekuwa wanatutaka wamiliki eti tuwalipe fidia wahusika wakati manispaa ndio iliyatwaa hayo mashamba na kutuuzia viwanja baya zaidi maafisa ardhi wanadiriki kutoa barua za kuwaruhusu hao matapeli waviendeleze hivyo viwanja huku wakijua vina wamiliki halali wenye hati tunakuomba mh.Waziri ingilia kati mgogoro huu unaochochewa na watendaji wako.
Mwaka 2004 Manispaa iliwataa mashamba na kuwalipa fidia wahusika na ofisi ya mkuu wa wilaya ilihusishwa kusaini majedwali ya fidia kisha kupima viwanja na tukauziwa na kumilikishwa kwa hati milki ya miaka 66.
Limeibuka kundi la matapeli wanadai wazazi wao ambao eti ni marehemu hawakulipwa fidia mwaka 2004 maafisa ardhi wamekuwa wanatutaka wamiliki eti tuwalipe fidia wahusika wakati manispaa ndio iliyatwaa hayo mashamba na kutuuzia viwanja baya zaidi maafisa ardhi wanadiriki kutoa barua za kuwaruhusu hao matapeli waviendeleze hivyo viwanja huku wakijua vina wamiliki halali wenye hati tunakuomba mh.Waziri ingilia kati mgogoro huu unaochochewa na watendaji wako.