hapo ndipo penye shida sasa.
Sijaona mwanamke aliemjibu ipasavyo huyu mtu!
mizambwa haikuumi tenatunawasubiri uliowataja waje wakujibu.
mizambwa
nabii mtarajiwa!!!
Kwa muda mrefu Nimekuwa nikisikia toka kwa wanawake kadhaa kuwa MANII/SH@H@W@ ni uchafu. Nimejaribu kutafuta uchafu wa manii sijauona. Lakini linalonishangaza zaidi ni kuwa mwanamke akisikia mwanaume wake ana mwanamke mwingine inakuwa ugomvi mkubwa. Swali iwapo manii ni uchafu kwanini wanaulinda uchafu huo kwa gharama Kubwa sana.
wanaMMU (Lizzy, Smile, KONGOSHO etc) naombeni msaada wenu.
Bazazi ni Bazazi
Hata mate/makohozi hutakiwi kutema hovyo.
Watakuja muda gani kujibu hao wahusika.