Manii ni Uchafu?

we kwel bazaaz,:wacko:

Baby M! miye sio Bazaaz miye ni BAZAZI. Ulichomaanisha ni mwenye tabia mbaya. Sasa mtoto mzuri angalia nisijeKUMIMBA kirahisirahisi, shauri yako we endelea na kugeuza majina ya watu. Shauri Yako
 
Piga namba 0771231645,utampata mmoja kati ya hao unaohitaji msaada wao tu,
ikiita anza kujitambulisha kuwa wewe ni bazazi!
 
inategemea mtu na mtu kuna wengine ukitaja kinyesi kama anakula ataacha.....kwa upande wa manii wanaume nao wametofautiana kuna wengine wanatoa zenye kiarufu ambacho cyo kizuri..
 
Kwa muda mrefu Nimekuwa nikisikia toka kwa wanawake kadhaa kuwa MANII/SH@H@W@ ni uchafu. Nimejaribu kutafuta uchafu wa manii sijauona. Lakini linalonishangaza zaidi ni kuwa mwanamke akisikia mwanaume wake ana mwanamke mwingine inakuwa ugomvi mkubwa. Swali iwapo manii ni uchafu kwanini wanaulinda uchafu huo kwa gharama Kubwa sana.

wanaMMU (Lizzy, Smile, KONGOSHO etc) naombeni msaada wenu.

Bazazi ni Bazazi

Nani kakwambia mbona kuna watu wanapenda kula ile mbaya au hujaona?Ingekuwa uchafu wangekula?
 
Uchafu Definition: Kitu chochote ambacho hakipo mahala pake.., (kwahio hata simu au laptop ikiwa chooni ni uchafu, Chakula kikiwa chooni, kile chakula ndio uchafu na sio choo ndio chafu)

Hivyo basi hayo mambo yakiwa mahala pake panapostahili sio uchafu.., ila ukiyaweka mezani au kwenye mashuka au nguo nadhani jibu unalo
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom