DaaahKuna jamaa kitaa alikuwa msela sana, alivyoanza kupakuliwa kabadilika aisee!
Real happened?Kuna dgo mmoja mtaani alizaliwa na jinsia mbili lkn akiwa active as mwanaume.....niliamini ipo siku ataaanza ukike....kafanyiwa operation ya kutolewa ke.....bs sa hv kawa mwanaume lijali haswaa.....nimehamaki sana
Duuuh na alikufa kweliShoga maarufu nchini Kenya.. He is no longer View attachment 1104755
Huyu ni bob risky
Mungu atuepushe na majanga haya, sisi na vizazi vyetu!
Mnamuona huyu, ni shoga anaitwa bobrisky ni tajiri anaishi nigeria. Picha ya chini kabla hajawa maarufu, na picha zingine akiwa tayari celebrity anakula hadi na vigogoView attachment 1338491View attachment 1338494View attachment 1338495View attachment 1338496View attachment 1338497
Sent using Jamii Forums mobile app
Mwingine uyu apaKama katiba haina kipengele kinachowakataza, ni maamuzi ya mtu kuchagua starehe yake. Kuna mpaka waheshimiwa wa kidini, ila kimyakimya