Mchambuzi
JF-Expert Member
- Aug 24, 2007
- 4,850
- 9,405
- Thread starter
- #41
JingalaFalsafa,
Ni kweli tuna utamaduni wa kuja na maazimio mengi lakini yasiyokuwa na utekelezaji; Kwa mtazamo wako, katika suala la formation of our own state tuanzie wapi? Kwa mfano, mimi sina woga wa kujulikana jina langu halisi na sura yangu halisi licha ya vitisho na matusi ya hapa na pale; Sasa kwa wale ambao bado waoga, inabidi watoke huko, hasa ikiwa nia ni kukosoa na kujenga hoja kwa kuweka taifa mbele, siasa nyuma, na maslahi binafsi nyuma zaidi; Kwa vile mimi tayari nipo wazi, unanishauri nifanyeje zaidi?
Wapo wanaosema mabadiliko ya kweli ni lazima yapiganiwe nje ya CCM; Kuna ukweli kwa kiasi gani ndani ya hoja hii lakini the truth is not absolute but relative; huko kwingine, je baada ya harakati za mabadiliko kufanikiwa, kuna guarantee gani kwamba sauti na mawazo yetu yataendelea kusikilizwa? Tatizo langu lipo hapo tu
Ni kweli tuna utamaduni wa kuja na maazimio mengi lakini yasiyokuwa na utekelezaji; Kwa mtazamo wako, katika suala la formation of our own state tuanzie wapi? Kwa mfano, mimi sina woga wa kujulikana jina langu halisi na sura yangu halisi licha ya vitisho na matusi ya hapa na pale; Sasa kwa wale ambao bado waoga, inabidi watoke huko, hasa ikiwa nia ni kukosoa na kujenga hoja kwa kuweka taifa mbele, siasa nyuma, na maslahi binafsi nyuma zaidi; Kwa vile mimi tayari nipo wazi, unanishauri nifanyeje zaidi?
Wapo wanaosema mabadiliko ya kweli ni lazima yapiganiwe nje ya CCM; Kuna ukweli kwa kiasi gani ndani ya hoja hii lakini the truth is not absolute but relative; huko kwingine, je baada ya harakati za mabadiliko kufanikiwa, kuna guarantee gani kwamba sauti na mawazo yetu yataendelea kusikilizwa? Tatizo langu lipo hapo tu
Last edited by a moderator: