Emc2
JF-Expert Member
- Sep 26, 2011
- 16,808
- 16,836
Mkutano ulifanyika ukihusisha viongozi wa sayari mbili. Waliamua kuanza utafiti wa kujua kama sayari zingine kunauwezekano wa kuishi. Wataalamu wa vinasaba walikuwepo wakielezea namna ya kuweza kutengeneza kiumbe na kuweza kuishi kulingana na mazingira. Wataalamu wa kosimolojia nao walitoa utaalamu wao kuhusu sayari zilizombali na mazingira yake.
Hakika mkutano huo ulikuwa wa kimkakati. Kila mwenye taaluma yake alikuwa huru kuielezea. Wengine waliezea kwa vitendo na wengine walitoa maelezo kwa nadhalia tu. Mabishano ya kiujuzi yalikuwa yakitokea, kila mmoja akivutia kwake.
........ Naendelea...
Hakika mkutano huo ulikuwa wa kimkakati. Kila mwenye taaluma yake alikuwa huru kuielezea. Wengine waliezea kwa vitendo na wengine walitoa maelezo kwa nadhalia tu. Mabishano ya kiujuzi yalikuwa yakitokea, kila mmoja akivutia kwake.
........ Naendelea...