Mangimeli JF-Expert Member Sep 15, 2011 1,151 286 Mar 24, 2012 #1 Ilikua ni jana usiku maeneo ya dakawa,lakini mungu alivyo mkubwa sikuumia ila gari ilipanda juu ya pikipiki yangu naomba mnipe pole. Attachments 399804_3160269244027_1184181927_33396777_797541412_n.jpg 11.6 KB · Views: 128
Ilikua ni jana usiku maeneo ya dakawa,lakini mungu alivyo mkubwa sikuumia ila gari ilipanda juu ya pikipiki yangu naomba mnipe pole.
Donnie Charlie JF-Expert Member Sep 16, 2009 15,145 16,218 Mar 24, 2012 #4 unamaanisha nini hapa? ..kuwa hawa wavaa sketi ni sawa na bodaboda?
Mangimeli JF-Expert Member Sep 15, 2011 1,151 286 Mar 26, 2012 Thread starter #5 Mangimeli said: Ilikua ni jana usiku maeneo ya dakawa,lakini mungu alivyo mkubwa sikuumia ila gari ilipanda juu ya pikipiki yangu naomba mnipe pole. Click to expand... jamani samahanini nlichanganya kwenye kufanya attach ya picha.
Mangimeli said: Ilikua ni jana usiku maeneo ya dakawa,lakini mungu alivyo mkubwa sikuumia ila gari ilipanda juu ya pikipiki yangu naomba mnipe pole. Click to expand... jamani samahanini nlichanganya kwenye kufanya attach ya picha.
Memo JF-Expert Member Jan 17, 2011 2,157 760 Mar 26, 2012 #7 Mangimeli said: jamani samahanini nlichanganya kwenye kufanya attach ya picha. Click to expand... Kwanza hujaeleza kilichokukuta, umekimbilia kuweka picha! Hii ni hasara tu!!!
Mangimeli said: jamani samahanini nlichanganya kwenye kufanya attach ya picha. Click to expand... Kwanza hujaeleza kilichokukuta, umekimbilia kuweka picha! Hii ni hasara tu!!!