negotiator nodegi
JF-Expert Member
- Feb 17, 2013
- 403
- 127
Na sisi tukutajie extended family ya wana ccm? Nikugusie?TAFAKARI EWE UNAYEJIITA MWANA CHADEMA 👇👇👇
----------------------------------------------
Inasikitisha sana kuona ukabila na undugu kama huu Tz...
1. Mwenyekiti Chadema taifa- Mh Freeman
Mbowe (mchaga,kilimanjaro)
2. Mkurugenzi wa fedha na uwekezaji - Ndugu
Anthony Komu (mchaga,kilimanjaro)
3. Mwenyekiti Bodi ya wadhamini ya chama -
Mh. Philemon Ndesamburo (mchaga,
kilimanjaro)
4. Mkurugenzi wa Rasilimali wa chama- Ndugu
Suzan Lymo (mchag,Kilimanjaro)
5. Mkurugenzi wa Bunge na Halmashauri -Ndugu
John Mrema (mchaga, kilimanjaro)
6. Naibu katibu Mkuu wa chama - John
Mnyika ( mpare wa kilimanjaro mwenye maskani yake Dar)
7. Mwenyekiti wa Wanawake Halima Mdee (Mpare wa Kilimanjaro mwenye maskani yake Dar es Salaam)
8. Makamu mwenyekiti wa Wazee Susan Lymo (mchaga wa Kilimanjaro)
9. Walinzi wote wa Mbowe (wachaga wa Kilimanjaro)
10. Asilimia 98 ya madereva wa Chama wachaga wa Kilimanjaro
Asilimia 80 ya wabunge wa kuteuliwa wa Chadema wanatoka Kilimanjaro na
Arusha,wakiongozwa na Mrs wa Mbowe wa pili Joyce
Mukya, Grace Kihwelu, Suzan Lymo, Lucy Ndesamburo Owenya, Cecilia Pareso, Rebecca Mngodo na Rose Kamili.
11:Tundu Lisu MB na dada yake wa kuzaliwa MB
wa kuteuliwa,
12k Wilbroad Slaa katibu mkewe wa ndoa Mb
wa kuteuliwa
13:Mbowe Mwenyekiti Mkewe mdogo Mb wa
Kuteuliwa
16:Ndesamburo Mb mwanawe wa kuzaa MB
kuteuliwa
16:Mtei Mlezi wa chama mkwewe Mbowe
Mwenyekiti wa Chama,
Hii familia inataka iongoze watu zaidi ya milioni
44 haitakuja kutokea katika historia ya Tanzania
Ndio wanafamilia hawahawa waliomtengenezea zengwe la kumfukuza Mh Zitto Kabwe katika chama hiki cha kifamilia baada ya kuona anakubalika ndani ya chama hicho na anauwezo wa kuwa mwenyekiti endapo angechuana na Mbowe lakini si mchaga wala mtu was kaskazini.
Hapo ndipo vikao vya kifamilia vikaanza na kuamua kumtimua Zitto.
Wanafamilia hawa ndio wamemuuzia chama chao Edward Lowassa kwa kiasi cha Billion 10 ili agombee urais kupitia chama hiki! Dr Slaa alipohoji akaambiwa wewe sio mwanafamilia hivyo tulikustili kwa muda tu. Ndipo slaa akagundua kuwa sio chama bali ni SACCOS na kuamua kujiengua.
Mwl Nyerere aliwahi kusema, nanukuu " Mtu anayeonekana anapenda sana kwenda ikulu hafai hata kidogo ni wa kukwepa kama Ukoma".
NDG watanzania huyu Lowassa anavyopenda sana kwenda ikulu tumkwepe. Hizo bilioni 10 alizonunulia chama anataka akazirudishe kwa kutuibia sisi wananchi. ZINDUKA!
Kama amenunua chama akipewa nchi siataiuza kurudisha gharama zake......!!!!?
#SayNo2Fisadi
#FisadiMwikoIkulu
#RestInPeaceFisadi
#NoEntryBigFisadi
JIUNGE NA KAMPENI HIZI KUIOKOA NCHI YETU
JOIN THE MOVE TO RESCUE OUR COUNTRY
Mimi nipo us mkuu najua dada zetu wanavyohangaika so hiyo wala si la kusema, ila inachoniskitisha ni hao wafuasi, mtu anawatisha yupo us basi nao wanafuata kama kuku tu..Alishawaponda watanzania na kuabudu wazungu. Kutwa kujisifu ....Muke ya Mzungu! Akidhani kuwa mke wa mzungu basi yeye ni malaika! Wakati tunajua wazi kwamba sometimes wazungu huwatumia kama chakula ya mbwa wao!
Kweli JK katuweza, hadi huyu nae ni political commentator!
Eti unaombwa reference unaenda kuleta Mange Kimambi et al,....unajitambua kweli?
huyu mange ndo nani hapo TZ mtu juze nasisi tumjue maana wengine hatumjui vyema....tujuzeni tumeona tu hii post hapa
Sasa kwanini serikali yetu sikivu haimpandishi kizimbani?
TAFAKARI EWE UNAYEJIITA MWANA CHADEMA 
----------------------------------------------
Inasikitisha sana kuona ukabila na undugu kama huu Tz...
1. Mwenyekiti Chadema taifa- Mh Freeman
Mbowe (mchaga,kilimanjaro)
2. Mkurugenzi wa fedha na uwekezaji - Ndugu
Anthony Komu (mchaga,kilimanjaro)
3. Mwenyekiti Bodi ya wadhamini ya chama -
Mh. Philemon Ndesamburo (mchaga,
kilimanjaro)
4. Mkurugenzi wa Rasilimali wa chama- Ndugu
Suzan Lymo (mchag,Kilimanjaro)
5. Mkurugenzi wa Bunge na Halmashauri -Ndugu
John Mrema (mchaga, kilimanjaro)
6. Naibu katibu Mkuu wa chama - John
Mnyika ( mpare wa kilimanjaro mwenye maskani yake Dar)
7. Mwenyekiti wa Wanawake Halima Mdee (Mpare wa Kilimanjaro mwenye maskani yake Dar es Salaam)
8. Makamu mwenyekiti wa Wazee Susan Lymo (mchaga wa Kilimanjaro)
9. Walinzi wote wa Mbowe (wachaga wa Kilimanjaro)
10. Asilimia 98 ya madereva wa Chama wachaga wa Kilimanjaro
Asilimia 80 ya wabunge wa kuteuliwa wa Chadema wanatoka Kilimanjaro na
Arusha,wakiongozwa na Mrs wa Mbowe wa pili Joyce
Mukya, Grace Kihwelu, Suzan Lymo, Lucy Ndesamburo Owenya, Cecilia Pareso, Rebecca Mngodo na Rose Kamili.
11:Tundu Lisu MB na dada yake wa kuzaliwa MB
wa kuteuliwa,
12k Wilbroad Slaa katibu mkewe wa ndoa Mb
wa kuteuliwa
13:Mbowe Mwenyekiti Mkewe mdogo Mb wa
Kuteuliwa
16:Ndesamburo Mb mwanawe wa kuzaa MB
kuteuliwa
16:Mtei Mlezi wa chama mkwewe Mbowe
Mwenyekiti wa Chama,
Hii familia inataka iongoze watu zaidi ya milioni
44 haitakuja kutokea katika historia ya Tanzania
Ndio wanafamilia hawahawa waliomtengenezea zengwe la kumfukuza Mh Zitto Kabwe katika chama hiki cha kifamilia baada ya kuona anakubalika ndani ya chama hicho na anauwezo wa kuwa mwenyekiti endapo angechuana na Mbowe lakini si mchaga wala mtu was kaskazini.
Hapo ndipo vikao vya kifamilia vikaanza na kuamua kumtimua Zitto.
Wanafamilia hawa ndio wamemuuzia chama chao Edward Lowassa kwa kiasi cha Billion 10 ili agombee urais kupitia chama hiki! Dr Slaa alipohoji akaambiwa wewe sio mwanafamilia hivyo tulikustili kwa muda tu. Ndipo slaa akagundua kuwa sio chama bali ni SACCOS na kuamua kujiengua.
Mwl Nyerere aliwahi kusema, nanukuu " Mtu anayeonekana anapenda sana kwenda ikulu hafai hata kidogo ni wa kukwepa kama Ukoma".
NDG watanzania huyu Lowassa anavyopenda sana kwenda ikulu tumkwepe. Hizo bilioni 10 alizonunulia chama anataka akazirudishe kwa kutuibia sisi wananchi. ZINDUKA!
Kama amenunua chama akipewa nchi siataiuza kurudisha gharama zake......!!!!?
#SayNo2Fisadi
#FisadiMwikoIkulu
#RestInPeaceFisadi
#NoEntryBigFisadi
JIUNGE NA KAMPENI HIZI KUIOKOA NCHI YETU
JOIN THE MOVE TO RESCUE OUR COUNTRY
Au yeye apandishe "waliomchafua" na kumuharibia sifa yake na utu wake??!!!!