johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 84,035
- 142,102
Hata mzee Wassira pale TBC alimwambia Kiongozi mkuu wa ACT Wazalendo Mzee Zitto Kabwe kwamba bila Serikali mbili hakuna Katiba mpya.
Na yule Shujaa Magufuli aliwaambia CHADEMA kuwa Katiba Mpya siyo kipaumbele chake kwani fursa ilishatolewa awamu ya Nne ikashindikana.
Msema kweli ni mpenzi wa Mungu 😀
Na yule Shujaa Magufuli aliwaambia CHADEMA kuwa Katiba Mpya siyo kipaumbele chake kwani fursa ilishatolewa awamu ya Nne ikashindikana.
Msema kweli ni mpenzi wa Mungu 😀