Mange Kimambi: Msema kweli ni mpenzi wa Mungu

maramla

Ni bahati mbaya sana kuwa Watanzania ukiwa na maslahi na kitu unasahau kwa muda kusema ukweli. Katika vyama vya siasa kwa sasa CCM ina wenyewe na wala siyo wewe. Angalia wafanya maamuzi ndani ya CCM katika ngazi ya Taifa na ufanye utafi kidogo tu na utwambie ukweli.

CCM kwa sasa ni chama cha kifamilia na ili upate nafasi lazima ufahamiane na mkubwa au mtoto wa mkubwa fulani ndani ya chama .This is the reality on polical parties in Tanzania. Huwezi kusema CHADEMA peke yake anza na ccm nenda Cuf, act ADC, TLP n.k.
 
Last edited by a moderator:
TAFAKARI EWE UNAYEJIITA MWANA CHADEMA 👇👇👇
----------------------------------------------
Inasikitisha sana kuona ukabila na undugu kama huu Tz...

1. Mwenyekiti Chadema taifa- Mh Freeman
Mbowe (mchaga,kilimanjaro)

2. Mkurugenzi wa fedha na uwekezaji - Ndugu
Anthony Komu (mchaga,kilimanjaro)

3. Mwenyekiti Bodi ya wadhamini ya chama -
Mh. Philemon Ndesamburo (mchaga,
kilimanjaro)

4. Mkurugenzi wa Rasilimali wa chama- Ndugu
Suzan Lymo (mchag,Kilimanjaro)

5. Mkurugenzi wa Bunge na Halmashauri -Ndugu
John Mrema (mchaga, kilimanjaro)

6. Naibu katibu Mkuu wa chama - John
Mnyika ( mpare wa kilimanjaro mwenye maskani yake Dar)

7. Mwenyekiti wa Wanawake Halima Mdee (Mpare wa Kilimanjaro mwenye maskani yake Dar es Salaam)

8. Makamu mwenyekiti wa Wazee Susan Lymo (mchaga wa Kilimanjaro)

9. Walinzi wote wa Mbowe (wachaga wa Kilimanjaro)

10. Asilimia 98 ya madereva wa Chama wachaga wa Kilimanjaro

Asilimia 80 ya wabunge wa kuteuliwa wa Chadema wanatoka Kilimanjaro na
Arusha,wakiongozwa na Mrs wa Mbowe wa pili Joyce
Mukya, Grace Kihwelu, Suzan Lymo, Lucy Ndesamburo Owenya, Cecilia Pareso, Rebecca Mngodo na Rose Kamili.

11:Tundu Lisu MB na dada yake wa kuzaliwa MB
wa kuteuliwa,

12:Dk Wilbroad Slaa katibu mkewe wa ndoa Mb
wa kuteuliwa

13:Mbowe Mwenyekiti Mkewe mdogo Mb wa
Kuteuliwa

16:Ndesamburo Mb mwanawe wa kuzaa MB
kuteuliwa

16:Mtei Mlezi wa chama mkwewe Mbowe
Mwenyekiti wa Chama,
Hii familia inataka iongoze watu zaidi ya milioni
44 haitakuja kutokea katika historia ya Tanzania

Ndio wanafamilia hawahawa waliomtengenezea zengwe la kumfukuza Mh Zitto Kabwe katika chama hiki cha kifamilia baada ya kuona anakubalika ndani ya chama hicho na anauwezo wa kuwa mwenyekiti endapo angechuana na Mbowe lakini si mchaga wala mtu was kaskazini.

Hapo ndipo vikao vya kifamilia vikaanza na kuamua kumtimua Zitto.

Wanafamilia hawa ndio wamemuuzia chama chao Edward Lowassa kwa kiasi cha Billion 10 ili agombee urais kupitia chama hiki! Dr Slaa alipohoji akaambiwa wewe sio mwanafamilia hivyo tulikustili kwa muda tu. Ndipo slaa akagundua kuwa sio chama bali ni SACCOS na kuamua kujiengua.

Mwl Nyerere aliwahi kusema, nanukuu " Mtu anayeonekana anapenda sana kwenda ikulu hafai hata kidogo ni wa kukwepa kama Ukoma".

NDG watanzania huyu Lowassa anavyopenda sana kwenda ikulu tumkwepe. Hizo bilioni 10 alizonunulia chama anataka akazirudishe kwa kutuibia sisi wananchi. ZINDUKA!

Kama amenunua chama akipewa nchi siataiuza kurudisha gharama zake......!!!!?

#SayNo2Fisadi
#FisadiMwikoIkulu
#RestInPeaceFisadi
#NoEntryBigFisadi

JIUNGE NA KAMPENI HIZI KUIOKOA NCHI YETU

JOIN THE MOVE TO RESCUE OUR COUNTRY
Na sisi tukutajie extended family ya wana ccm? Nikugusie?
JK rais, 'mama salma, rizone kuna katoto kao kafogo kapo ccm chipukiz. Bado niendelee? Membe
 
Alishawaponda watanzania na kuabudu wazungu. Kutwa kujisifu ....Muke ya Mzungu! Akidhani kuwa mke wa mzungu basi yeye ni malaika! Wakati tunajua wazi kwamba sometimes wazungu huwatumia kama chakula ya mbwa wao!
Mimi nipo us mkuu najua dada zetu wanavyohangaika so hiyo wala si la kusema, ila inachoniskitisha ni hao wafuasi, mtu anawatisha yupo us basi nao wanafuata kama kuku tu..
 
Husikii ccm ina wenyewe. Hichi kimambe kina mume kweli. Inaonekana kiko frustrated.
 
huyu mange ndo nani hapo TZ mtu juze nasisi tumjue maana wengine hatumjui vyema....tujuzeni tumeona tu hii post hapa
 
Eti unaombwa reference unaenda kuleta Mange Kimambi et al,....unajitambua kweli?
 
huyu mange ndo nani hapo TZ mtu juze nasisi tumjue maana wengine hatumjui vyema....tujuzeni tumeona tu hii post hapa

We jadili alichoandika mkuu haya mambo ya nani ndio nani ndio yamefiisha nchi hapa watu hawajadili sera wala taasisi kila uchao majina ya watu tu. . . . .
 
uploadfromtaptalk1439449519084.jpg
Kwa nini watu wasiongelee na kukemea ukabila unaokuwa practiced na chadema? Halafu nyie wengine msio wachaga mnaswagwa tu kama nyumbu

Kwa nini watu wasiongelee na kukemea ukabila unaokuwa practiced na chadema? Halafu nyie wengine msio wachaga mnaswagwa tu kama nyumbu
 
TAFAKARI EWE UNAYEJIITA MWANA CHADEMA 
----------------------------------------------
Inasikitisha sana kuona ukabila na undugu kama huu Tz...

1. Mwenyekiti Chadema taifa- Mh Freeman
Mbowe (mchaga,kilimanjaro)

2. Mkurugenzi wa fedha na uwekezaji - Ndugu
Anthony Komu (mchaga,kilimanjaro)

3. Mwenyekiti Bodi ya wadhamini ya chama -
Mh. Philemon Ndesamburo (mchaga,
kilimanjaro)

4. Mkurugenzi wa Rasilimali wa chama- Ndugu
Suzan Lymo (mchag,Kilimanjaro)

5. Mkurugenzi wa Bunge na Halmashauri -Ndugu
John Mrema (mchaga, kilimanjaro)

6. Naibu katibu Mkuu wa chama - John
Mnyika ( mpare wa kilimanjaro mwenye maskani yake Dar)

7. Mwenyekiti wa Wanawake Halima Mdee (Mpare wa Kilimanjaro mwenye maskani yake Dar es Salaam)

8. Makamu mwenyekiti wa Wazee Susan Lymo (mchaga wa Kilimanjaro)

9. Walinzi wote wa Mbowe (wachaga wa Kilimanjaro)

10. Asilimia 98 ya madereva wa Chama wachaga wa Kilimanjaro

Asilimia 80 ya wabunge wa kuteuliwa wa Chadema wanatoka Kilimanjaro na
Arusha,wakiongozwa na Mrs wa Mbowe wa pili Joyce
Mukya, Grace Kihwelu, Suzan Lymo, Lucy Ndesamburo Owenya, Cecilia Pareso, Rebecca Mngodo na Rose Kamili.

11:Tundu Lisu MB na dada yake wa kuzaliwa MB
wa kuteuliwa,

12:Dk Wilbroad Slaa katibu mkewe wa ndoa Mb
wa kuteuliwa

13:Mbowe Mwenyekiti Mkewe mdogo Mb wa
Kuteuliwa

16:Ndesamburo Mb mwanawe wa kuzaa MB
kuteuliwa

16:Mtei Mlezi wa chama mkwewe Mbowe
Mwenyekiti wa Chama,
Hii familia inataka iongoze watu zaidi ya milioni
44 haitakuja kutokea katika historia ya Tanzania

Ndio wanafamilia hawahawa waliomtengenezea zengwe la kumfukuza Mh Zitto Kabwe katika chama hiki cha kifamilia baada ya kuona anakubalika ndani ya chama hicho na anauwezo wa kuwa mwenyekiti endapo angechuana na Mbowe lakini si mchaga wala mtu was kaskazini.

Hapo ndipo vikao vya kifamilia vikaanza na kuamua kumtimua Zitto.

Wanafamilia hawa ndio wamemuuzia chama chao Edward Lowassa kwa kiasi cha Billion 10 ili agombee urais kupitia chama hiki! Dr Slaa alipohoji akaambiwa wewe sio mwanafamilia hivyo tulikustili kwa muda tu. Ndipo slaa akagundua kuwa sio chama bali ni SACCOS na kuamua kujiengua.

Mwl Nyerere aliwahi kusema, nanukuu " Mtu anayeonekana anapenda sana kwenda ikulu hafai hata kidogo ni wa kukwepa kama Ukoma".

NDG watanzania huyu Lowassa anavyopenda sana kwenda ikulu tumkwepe. Hizo bilioni 10 alizonunulia chama anataka akazirudishe kwa kutuibia sisi wananchi. ZINDUKA!

Kama amenunua chama akipewa nchi siataiuza kurudisha gharama zake......!!!!?

#SayNo2Fisadi
#FisadiMwikoIkulu
#RestInPeaceFisadi
#NoEntryBigFisadi

JIUNGE NA KAMPENI HIZI KUIOKOA NCHI YETU

JOIN THE MOVE TO RESCUE OUR COUNTRY


Hiyo ni mirror image ya serikali ya chadema, kama ingeweza kuingia ikulu..halafu eti wapewe nchi, thubutu zake. Wa prove kutokuwa na ukabila katika uendeshaji wao wa chama ndio tutawaamini kuwapa nchi. Vinginevyo ni heri nchi iendeshwe na jeshi. Tanzania bila ukabila inawezekana
 
your not biased on your statistic presanted,due to that list you mentioned a few chadema cadres and their post-position, can you looking ccm on thé other side? are you sûre ccm are not minority and godfathers leading tanzania.
 
Lowasanasimama kwa ticket ya ukawa ,hawa wapo nchi nzima kuanzia zenji hadi kigoma , lindi hadi mwanza

Ccm wamepewa nchi miaka na miaka wameishia kuiuza nchi kama njugu na kutudharau wananchi , tumechokaaaa, sasa basi inatosha tunataka kuwaonyesha wanasiasa who is the BOSS, sasa hivi ukiileta uhuni ni mwendo wa vichinjio tuu
 
2 Reactions
Reply
Back
Top Bottom