Fedor von Bock
JF-Expert Member
- Apr 16, 2015
- 2,321
- 2,149
mkuu ata unapo fanya research lazima u- declare conflict of interest, sasa hatuwezi kukurupuka na kujadili mada bila kujua huyu ni nani na anahusikaje na siasa, juzi tumesikia polepole akichangia akiwa peke yake then alipo kuja msigwa ndo tukajua kumbe anamasilahi na ccm maana wote tulijua yeye anasimamia katiba kama katiba but kwasasa maslahi yake yeye ni ccm. so sio vibaya na sisi tukajua na huyu mtu interest zake.huenda kaandika mada kishabiki
We jadili alichoandika mkuu haya mambo ya nani ndio nani ndio yamefiisha nchi hapa watu hawajadili sera wala taasisi kila uchao majina ya watu tu. . . . .