Mange Kimambi: Msema kweli ni mpenzi wa Mungu

mkuu ata unapo fanya research lazima u- declare conflict of interest, sasa hatuwezi kukurupuka na kujadili mada bila kujua huyu ni nani na anahusikaje na siasa, juzi tumesikia polepole akichangia akiwa peke yake then alipo kuja msigwa ndo tukajua kumbe anamasilahi na ccm maana wote tulijua yeye anasimamia katiba kama katiba but kwasasa maslahi yake yeye ni ccm. so sio vibaya na sisi tukajua na huyu mtu interest zake.huenda kaandika mada kishabiki


We jadili alichoandika mkuu haya mambo ya nani ndio nani ndio yamefiisha nchi hapa watu hawajadili sera wala taasisi kila uchao majina ya watu tu. . . . .
 

mange.jpg
 
Huyu mwanamke amechanganyikiwa, sasa anatafuta huruma ya ccm ili kesi ifutwe arudi marekani hana lolote kila siku anaamka na jambo jipya kuhusu uchaguzi, chadema hakiulizi kabila la mtu, mbona tundu lisu si mchaga wala mpare? Huko ccm hajui kama kuna wenyewe au anajitoa ufahamu tu, akaangalie ile listi ya wabunge viti maalum wa UVCC ndio aje aharishe hapa.
 
We fisadi nyerere yupi unamzungumzia we fisadi kamabarange alikuwa na timu ya wenzake katika kuanzisha chama lakini chadema ni chama cha familia.

We gamba sugu!, prof safari,mwalimu, ni familia ya nani? Mwaka huu lazima uache iyo biashara ya meno ya tembo na unga.mlinzi wako kwishney
 
Taratibu amelainika. Sasa yeye mda mwingi yuko marekani sisi tuko tz, mdamfupi tu ka give up, sisi alitegemea tuwe na roho ya paka kuipambania ccm na uovu wake!?
 
TAFAKARI EWE UNAYEJIITA MWANA CHADEMA ������
----------------------------------------------
Inasikitisha sana kuona ukabila na undugu kama huu Tz...

1. Mwenyekiti Chadema taifa- Mh Freeman
Mbowe (mchaga,kilimanjaro)

2. Mkurugenzi wa fedha na uwekezaji - Ndugu
Anthony Komu (mchaga,kilimanjaro)

3. Mwenyekiti Bodi ya wadhamini ya chama -
Mh. Philemon Ndesamburo (mchaga,
kilimanjaro)

4. Mkurugenzi wa Rasilimali wa chama- Ndugu
Suzan Lymo (mchag,Kilimanjaro)

5. Mkurugenzi wa Bunge na Halmashauri -Ndugu
John Mrema (mchaga, kilimanjaro)

6. Naibu katibu Mkuu wa chama - John
Mnyika ( mpare wa kilimanjaro mwenye maskani yake Dar)

7. Mwenyekiti wa Wanawake Halima Mdee (Mpare wa Kilimanjaro mwenye maskani yake Dar es Salaam)

8. Makamu mwenyekiti wa Wazee Susan Lymo (mchaga wa Kilimanjaro)

9. Walinzi wote wa Mbowe (wachaga wa Kilimanjaro)

10. Asilimia 98 ya madereva wa Chama wachaga wa Kilimanjaro

Asilimia 80 ya wabunge wa kuteuliwa wa Chadema wanatoka Kilimanjaro na
Arusha,wakiongozwa na Mrs wa Mbowe wa pili Joyce
Mukya, Grace Kihwelu, Suzan Lymo, Lucy Ndesamburo Owenya, Cecilia Pareso, Rebecca Mngodo na Rose Kamili.

11:Tundu Lisu MB na dada yake wa kuzaliwa MB
wa kuteuliwa,

12:Dk Wilbroad Slaa katibu mkewe wa ndoa Mb
wa kuteuliwa

13:Mbowe Mwenyekiti Mkewe mdogo Mb wa
Kuteuliwa

16:Ndesamburo Mb mwanawe wa kuzaa MB
kuteuliwa

16:Mtei Mlezi wa chama mkwewe Mbowe
Mwenyekiti wa Chama,
Hii familia inataka iongoze watu zaidi ya milioni
44 haitakuja kutokea katika historia ya Tanzania

Ndio wanafamilia hawahawa waliomtengenezea zengwe la kumfukuza Mh Zitto Kabwe katika chama hiki cha kifamilia baada ya kuona anakubalika ndani ya chama hicho na anauwezo wa kuwa mwenyekiti endapo angechuana na Mbowe lakini si mchaga wala mtu was kaskazini.

Hapo ndipo vikao vya kifamilia vikaanza na kuamua kumtimua Zitto.

Wanafamilia hawa ndio wamemuuzia chama chao Edward Lowassa kwa kiasi cha Billion 10 ili agombee urais kupitia chama hiki! Dr Slaa alipohoji akaambiwa wewe sio mwanafamilia hivyo tulikustili kwa muda tu. Ndipo slaa akagundua kuwa sio chama bali ni SACCOS na kuamua kujiengua.

Mwl Nyerere aliwahi kusema, nanukuu " Mtu anayeonekana anapenda sana kwenda ikulu hafai hata kidogo ni wa kukwepa kama Ukoma".

NDG watanzania huyu Lowassa anavyopenda sana kwenda ikulu tumkwepe. Hizo bilioni 10 alizonunulia chama anataka akazirudishe kwa kutuibia sisi wananchi. ZINDUKA!

Kama amenunua chama akipewa nchi siataiuza kurudisha gharama zake......!!!!?

#SayNo2Fisadi
#FisadiMwikoIkulu
#RestInPeaceFisadi
#NoEntryBigFisadi

JIUNGE NA KAMPENI HIZI KUIOKOA NCHI YETU

JOIN THE MOVE TO RESCUE OUR COUNTRY

Ukawa umeenea nchi nzima, hoja za ukabila na udini hazina mashiko tena. Ila point ni kwamba watu wanataka CCM out, yaani hata isingekuwa ukawa ingekuwa chadema na hata kama ingekuwa chadema ya wachaga tupu bado watu wange isapoti tu kwa sababu WATU WAMECHOKA, vijana waliozaliwa miaka 30 iliyopita watoto wamlala hoi neema wanaona tu kwenye tv, wanaisoma kwenye vitabu vya dini nakuikodolea macho kwa watoto wa vigogo. Hawako tayari kudanganywa kwa miakamingine 10.

Hapo kwa mafisadi ni kichekesho, mafisadi wa escrow, epa,etc etc wapo ccm kwa hiyo kwa suala la ufisadi ccm bado wameshika namba.

Bilioni 10 ni hadithi za paukwa na pakawa until proven, na ikiwa proved ushahidi upelekwe takukuru wahusika wakashughulikiwe kule, ukawa watabadilisha magurudumu yalopata pancha safari itaendelea.

Kwa suala la Nyerere ikumbukwe ni Nyerere huyo huyo alisema,kama mtu anakubalika na watu mpitisheni huyo, alisema chama kitakacho mkataa mgombea anayekubalika na wengi kitalia machozi ambayo hayataweza kufutika,alisema hamchagui katibu wa chama mnachagua raisi….mtazamo wa watu ni muhimusaaana!
 
Ukawa umeenea nchi nzima, hoja za ukabila na udini hazinamashiko tena. Ila point ni kwamba watu wanataka CCM out, yaani isingekuwa ukawaingekuwa chadema na hata kama ingekuwa chadema ya wachaga tupu bado watu wangeisapotitu kwa sababu WATU WAMECHOKA, vijana waliozaliwa miaka 30 iliyopita watoto wamlala hoi neema wanaisikia tu kwenye tv, wanaisoma kwenye vitabu vya dini nakuikodolea macho kwa watoto wa vigogo. Hawako tayari kudanganywa kwa miakamingine 10.
Hapo kwa mafisadi ni kichekesho, mafisadi wa escrow, epa,etc etc wapo ccm kwa hiyo kwa suala la ufisadi ccm bado wameshika namba
Bilioni 10 ni hadithi za paukwa na pakawa until proven, naikiwa proved ushahidi upelekwe takukuru wahusika wakashughulikiwe kule, ukawa watabadilishamagurudumu yalopata pancha safari itaendelea.
Kwa suala la Nyerere ikumbukwe ni Nyerere huyo huyo alisema,kama mtu anakubalika na watu mpitisheni huyo, alisema chama kitakacho mkataamgombea anayekubalika na wengi kitalia machozi ambayo hayataweza kufutika,alisema hamchagui katibu wa chama mnachagua raisi….mtazamo wa watu ni muhimusaaana!

UKAWA will change the status quo; i doubt it bearing in fact that kiongozi mkuu is not that clean either. I trusted Dr. S...
 
Hii dio CCM ya Kikwete imagine tunaipa miaka mingine mitano ya utawala,hali itakuaje??? chama kimekuwa cha kitoto kimejaa wazee wenyeheshima lakini chaajabu wanakubali kuongozwa na wahuni na wako kimya tu,mtazame mzee Pius Msekwa,Mzee Salim Hamed Salim,mzee Mkapa,mzee Mwinyi hata kumkemea huyo brother man wameshindwa..!!sijui lakini huenda ni kweli ndege wanao fanana huruka pamoja
 
Hana jipya,
Kwani alipoamua kuolewa na mnyamweziii wanaume wote wa tz walikuwa wachagga?.

................ mchosho tu huo............
 
TAFAKARI EWE UNAYEJIITA MWANA CHADEMA &[HASHTAG]#128071[/HASHTAG];&[HASHTAG]#128071[/HASHTAG];&[HASHTAG]#128071[/HASHTAG];
----------------------------------------------
Inasikitisha sana kuona ukabila na undugu kama huu Tz...

1. Mwenyekiti Chadema taifa- Mh Freeman
Mbowe (mchaga,kilimanjaro)

2. Mkurugenzi wa fedha na uwekezaji - Ndugu
Anthony Komu (mchaga,kilimanjaro)

3. Mwenyekiti Bodi ya wadhamini ya chama -
Mh. Philemon Ndesamburo (mchaga,
kilimanjaro)

4. Mkurugenzi wa Rasilimali wa chama- Ndugu
Suzan Lymo (mchag,Kilimanjaro)

5. Mkurugenzi wa Bunge na Halmashauri -Ndugu
John Mrema (mchaga, kilimanjaro)

6. Naibu katibu Mkuu wa chama - John
Mnyika ( mpare wa kilimanjaro mwenye maskani yake Dar)

7. Mwenyekiti wa Wanawake Halima Mdee (Mpare wa Kilimanjaro mwenye maskani yake Dar es Salaam)

8. Makamu mwenyekiti wa Wazee Susan Lymo (mchaga wa Kilimanjaro)

9. Walinzi wote wa Mbowe (wachaga wa Kilimanjaro)

10. Asilimia 98 ya madereva wa Chama wachaga wa Kilimanjaro

Asilimia 80 ya wabunge wa kuteuliwa wa Chadema wanatoka Kilimanjaro na
Arusha,wakiongozwa na Mrs wa Mbowe wa pili Joyce
Mukya, Grace Kihwelu, Suzan Lymo, Lucy Ndesamburo Owenya, Cecilia Pareso, Rebecca Mngodo na Rose Kamili.

11:Tundu Lisu MB na dada yake wa kuzaliwa MB
wa kuteuliwa,

12:Dk Wilbroad Slaa katibu mkewe wa ndoa Mb
wa kuteuliwa

13:Mbowe Mwenyekiti Mkewe mdogo Mb wa
Kuteuliwa

16:Ndesamburo Mb mwanawe wa kuzaa MB
kuteuliwa

16:Mtei Mlezi wa chama mkwewe Mbowe
Mwenyekiti wa Chama,
Hii familia inataka iongoze watu zaidi ya milioni
44 haitakuja kutokea katika historia ya Tanzania

Ndio wanafamilia hawahawa waliomtengenezea zengwe la kumfukuza Mh Zitto Kabwe katika chama hiki cha kifamilia baada ya kuona anakubalika ndani ya chama hicho na anauwezo wa kuwa mwenyekiti endapo angechuana na Mbowe lakini si mchaga wala mtu was kaskazini.

Hapo ndipo vikao vya kifamilia vikaanza na kuamua kumtimua Zitto.

Wanafamilia hawa ndio wamemuuzia chama chao Edward Lowassa kwa kiasi cha Billion 10 ili agombee urais kupitia chama hiki! Dr Slaa alipohoji akaambiwa wewe sio mwanafamilia hivyo tulikustili kwa muda tu. Ndipo slaa akagundua kuwa sio chama bali ni SACCOS na kuamua kujiengua.

Mwl Nyerere aliwahi kusema, nanukuu " Mtu anayeonekana anapenda sana kwenda ikulu hafai hata kidogo ni wa kukwepa kama Ukoma".

NDG watanzania huyu Lowassa anavyopenda sana kwenda ikulu tumkwepe. Hizo bilioni 10 alizonunulia chama anataka akazirudishe kwa kutuibia sisi wananchi. ZINDUKA!

Kama amenunua chama akipewa nchi siataiuza kurudisha gharama zake......!!!!?

[HASHTAG]#SayNo2Fisadi[/HASHTAG]
[HASHTAG]#FisadiMwikoIkulu[/HASHTAG]
[HASHTAG]#RestInPeaceFisadi[/HASHTAG]
[HASHTAG]#NoEntryBigFisadi[/HASHTAG]

JIUNGE NA KAMPENI HIZI KUIOKOA NCHI YETU

JOIN THE MOVE TO RESCUE OUR COUNTRY
Acha upotishaji wa kijinga nimesoma ujinga wako huu nimegundua huna lolote unalolifahamu kuhusu chama demokrasia na maendeleo ...tunakukaribisha chadema kama umechoka na maisha ya lumumba
 
Acha upotishaji wa kijinga nimesoma ujinga wako huu nimegundua huna lolote unalolifahamu kuhusu chama demokrasia na maendeleo ...tunakukaribisha chadema kama umechoka na maisha ya lumumba

NIAJABU GANI MTU UNAMUITA MJINGA ALAFU UNAMKALIBISHA NDANI YA CHAMA CHENU?
 
2 Reactions
Reply
Back
Top Bottom