Tumsaidie Rais kuleta order, haiwezekani kuachia wahalifu waendelee kuifanya tz jalala..kila mahali uozo na hao wanaoguswa ndio vinara wa kulalamika this time watanyooka tu wawe ccm cuf act whatever..Nakubaliana na wewe Mkuu,na mimi nimechangia katika hili janga la taifa linaloitwa CCM,lakini yaliyopita yamepita tutizame wapi tunaelekea kama taifa..