atlas copco
JF-Expert Member
- Jun 15, 2015
- 8,346
- 9,483
Tulieni daawa iwaingie,yale ya April 26 ilikuwa part one na dozi haikufanya kazi subirin hio part 2...Mange hutaweza kuvuruga taifa hili, gharama yake huiwezi, na hutaweza,
Tulieni daawa iwaingie,yale ya April 26 ilikuwa part one na dozi haikufanya kazi subirin hio part 2...Mange hutaweza kuvuruga taifa hili, gharama yake huiwezi, na hutaweza,
Wakati bunge linarushwa live kulikuwa na impact gani inayokosekana sasa hivi?? pamoja na wizi na ufisadi wote kuibuliwa bungeni hatua kujadiliwa kwa uwazi na juhudi za marehemu Mzee Sitta akiwa spika kuwa fair..ulisikia hata watz wanaandamana kuunga mkono juhudi hizo??? jamii ya watz kifrikra iko dhaifu sana tunapaswa kwanza kuamini katika kufanya kazi!!! mambo ya kukaa unatizama bunge laivu yatakupa chakula kwa familia yako?? au hiyo mikutano itakupa nini cha faida ambacho huna?? kwa mtu ambaye fikra yake iko busy kujikwamua hana muda na bunge laivu s not a priority!vp kuhusu bunge live na mikutano ya siasa?
Swali fikirishi kwa wanalumumba lkn sidhani kama kuna nyumbu yeyote wa lumumba ana hili wazo kichwani mwakehivi siku bwana mkubwa akiamua kung'atuka, ninyi wenye midomo mirefu kama ya kuku mtakuwa wageni wa nani? huwa najaribu tu kufikiri.
Kafanikiwa sana,International media zote zilikuwa zinaongea maandamano ya Mange,CNN,BBC,Aljazeera nk",International comunity" wameanza kuona na kufahamu nini hasa kinaendelea Tanzania kisiasa,..
Kosa kubwa walilofanya serikali ya Magufuli pale walipotumia nguvu kubwa za polisi na Jeshi ili kuyazuia yale maandamano.,maneno makali ya kutisha raia yalitolewa na baadhi ya viongozi dhidi ya raia,Mkuu International community inaitazama Tanzania kwa jicho jengeni kabisa hivi sasa,.
Wewe una male I bora ungeng'ang'ania kuingia kwenye ndege ukililia mti wewe hivi hata kwenye hesabu ya mtoto unajihesabia unga kuwa unagongwa na majiti mpaka na Magog Tena na wanawakePengine laana wanayo wazazi wako Kwa kushindwa Kukupa Malezi bora
Aya tuone hata kama shs 1 itazuiliwa kisa mange.Joke?
Walumumba mnamdanganya sana mwenyekiti wenu.
Hii issue ina impact kubwa sana
mbona watamnyima huyu mwiziWorld Bank ina'survive' kwa kutoa mikopo kwa nchi husika. World bank siyo political body! Mtieni akili. Nilikuwa sahihi kuwatilia mashaka baadhi ya diaspora wetu.
===
Watazuia mugabe si alikuwa muuaji kama huyu walimfanyajeAya tuone hata kama shs 1 itazuiliwa kisa mange.
Muda utaongea, japo mlengwa haonyeshi kubadili.kwa mkakati huu naona kbx anafanikiwa pakubwa na serikali ya JMT itatiwa dowa serikali itanyimwa mikopo
Ni kweli, wanamsapoti kwani wanafika beiAkimaliza World Bank akafanyie mbinguni ,afadhiliwe Kwa hali na mali,
Lazima mfahamu kwamba hata hao wafadhili wenu wanajua support ya watanzania Kwa rais Magufuli ni kubwa sana, ndo maana ni wapole
Wanaangalia interest zao. Unadhani nyie mnapendwa sana kuliko watu S.Sudan, Crimea, Yemen, Syria etc. Angalieni mambo kwa mapana na siyo kwa hisia.Joke kivipi, mnadhani wenzenu wanapuuzia madai ya wananchi kama huko kwenu?
Kichekesho uelewa wako ndio wenye matatizo acheni kuwa mazuzu.Hapo ndipo unaweza kuona kwa urahisi tofauti ya uelewa miongoni mwa watz
Mugabe alishika interest za wazungu. Mange na nyie wajinga zake ni wazungu?Watazuia mugabe si alikuwa muuaji kama huyu walimfanyaje
Mange hawezi kuwapa world bank taarifa za violations za human rights WB.Unaweza kuelezea sababu za WB kupingwa huko Marekani, Seattle in particular? Kisha tuone kama sababu za Mange hazihusiani na violation ya baadhi ya terms and conditions za mikopo ya WB!
niliangalia wiki iliyopita picha moja inaitwa white slave jinsi mwafrika alivyotumika kuwapeleka wazungu wakawaue waafrika wenzake kisha yeye anabaki kwa wazungu akitumikishwa.Mkubali mkatae huyu DADA kuna WATU WAPO NYUMA YAKE(mostly walioguswa maslahi yao na AWAMU hii)....she is not smart at all kuyafanya haya anayo yafanya sasa kwa tunaomjua tokea TUKIWA WATOTO PAMOJA,.......na ni lazima watakuja kivingine sasa...Either kwa kukutengeneza vikundi vya KIKAGAIDI au kuanza kufanya mauaji yanayoendana na UGAIDI lengo ni kutengeneza chuki baina ya serikali na WANANCHI...ni suala la muda tu
hapa huwa najiuliza sana inawezekana mawazo yetu yapo likizo au tujitoe kwenye jf kwa kuwa sioni vichwa vilinavyowaza mambo kwa kina na mbaya zaidi ukisema ukweli unatukanwa kisa hujakaa katika wimbo wanaouimba wao!Mange hawezi kuwapa world bank taarifa za violations za human rights WB.
WB wana muakilishi mkazi hapa nchini kazi yake ni ku assess pre conditions zote,na sio kumtegemea Mange