Umesoma na kuelewa nilichokiuliza na kusema? Wapi nimesema violation za human rights?Mange hawezi kuwapa world bank taarifa za violations za human rights WB.
WB wana muakilishi mkazi hapa nchini kazi yake ni ku assess pre conditions zote,na sio kumtegemea Mange
Huko atakutana na kiongozi wa malaikaAkimaliza World Bank akafanyie mbinguni ,afadhiliwe Kwa hali na mali,
Lazima mfahamu kwamba hata hao wafadhili wenu wanajua support ya watanzania Kwa rais Magufuli ni kubwa sana, ndo maana ni wapole
Na pia lazima wajue usalama wa pesa zao zitarudije?World Bank ina'survive' kwa kutoa mikopo kwa nchi husika. World bank siyo political body! Mtieni akili. Nilikuwa sahihi kuwatilia mashaka baadhi ya diaspora wetu.
===
Kuiba? Kwani serikali gani ilikuwa imeshika dola? Tangu tupate uhuru watu ni hao hao hakuna mabadiliko yoyote ila sana sana anayekuja amekuwa mwizi kidogo mwingine mwizi sana na mwingine muharibifu hana plani anafanya kazi kama robot ili mradi anonekane ana chapa kazi hata kama mwisho wa siku anaambulia zero lakini ilimradi ni mchapa kaziHahahah maneno ya kujifariji watanzania mafisadi.cha moto mtakiona mlizoea kuibia watanzania ngoma hadi 2027. Na nchi itakuwa imekaa tambarare
How....?
Sasa mbona mwaenda kukopa dubuliAkili zenu za ajabu sana, mnaenda kushtaki kwa mzungu? Hakuna mtu mweupe hata mmoja anampenda mtu mweusi, hivyo msitegemee hao watu wao kwao maslahi ndiyo mhimu.
Hongera kwa wewe ambae sio mgonjwa ila unakebehi wagonjwa, hawakupenda kuwa wagonjwa na wewe hukuomba uwe mzima. ila kumbuka ipo siku utalala kitandani na uwe mgonjwa wa kudumu kuliko hao unaowakebehi.wale waliokua wakimtumia Yule mgonjwa naona wamehamishia kambi kwake maana strategy ni ile ile..kukata uwezo wa serikali kufanya mambo yake..
Lipo analolitafuta na hawezi ku-rest hadi alipate. I am still thinking about the price,at both sides
Akimaliza World Bank akafanyie mbinguni ,afadhiliwe Kwa hali na mali,
Lazima mfahamu kwamba hata hao wafadhili wenu wanajua support ya watanzania Kwa rais Magufuli ni kubwa sana, ndo maana ni wapole
Hivi mkuu unadhani serikali itanyimwa mikopo kwa maandamano ya watu wawili tu ?kwa mkakati huu naona kbx anafanikiwa pakubwa na serikali ya JMT itatiwa dowa serikali itanyimwa mikopo
It is not a big deal hata kama ndivyo wengi walivyotaka......Serikali inaendelea na kazi zake hata hao ambao hawataki Rais Magufuli anavyotenda na hasa kuhakikisha kuwa watanzania wanafanyakazi na suala la starehe kwa viongozi waliokuwa wanatumia rasilimali za nchi vibaya kwa safari za nje hilo hakuna kabisa na ili upate pesa yako lazima ufanye kazi kama ilivyo hata nchi kama Marekani watu wanafanya kazi zaidi ya mbili ili kukidhi huduma za familia.Wewe unaona kuwa ni tukio dogo,huo ni muono wako,lakini dunia inaliangalia hili tukio ni kbwa sana kwa nchi ya amani kama Tanzania,Mkuu umefatilia magazeti ya nchi jirani na nchi rafiki zetu kama Kenya na South Afrika tyameandika nini kuhusu siku ya 26/4..,
Mange kashinda,dada hana hata kilo 60 kaishinda serikali nzima ya Magufuli na vyombo vyake vya usalama,...Aibu kubwa
Inatazama kwa jicho la chini hahahahaha na jicho la KICDMKafanikiwa sana,International media zote zilikuwa zinaongea maandamano ya Mange,CNN,BBC,Aljazeera nk",International comunity" wameanza kuona na kufahamu nini hasa kinaendelea Tanzania kisiasa,..
Kosa kubwa walilofanya serikali ya Magufuli pale walipotumia nguvu kubwa za polisi na Jeshi ili kuyazuia yale maandamano.,maneno makali ya kutisha raia yalitolewa na baadhi ya viongozi dhidi ya raia,Mkuu International community inaitazama Tanzania kwa jicho jengeni kabisa hivi sasa,.
Mwenye akili ni nani?ni huyo juha magufuli anayeua na kupoteza watu? Nini wewe kibaraka wake unayelipwa kwa propaganda za kumtetea huyo shetani magufuli?We nawe una akili?