huyu mange ndio alikuwa na blog ambayo alikuwa anatukanana na teekay kipindi flani wachangiaji wakawatukana sana kina magai,bashir,kinje,mlatie na kundi lao wote kwenye huo mjadala..mange ndio aliruhusu ule ujinga,na nadhani hata utamu ilipata idea ya kudhalilisha watu hapa..nilikuwa nashangaa siku zote hizi sikuwa nimeziona hasira za hawa jamaa over her!
nimeshangaa alivyojiita msichana wa kiislamu ambaye bado hajaolewa,as if anajiheshimu kweli!..tutaona itavyoishia hii
nimeshangaa alivyojiita msichana wa kiislamu ambaye bado hajaolewa,as if anajiheshimu kweli!..tutaona itavyoishia hii