tweenty4seven
JF-Expert Member
- Sep 21, 2013
- 15,672
- 19,187
So akakuta mkanda wa mandingo anampelekea baba yake ...sema huyo dada yuko tayari kufanya lolote apate pesa,ngoja wahovyo wamrekodi binti yake halafu atajua hajuiubuyu ulisambazwa kuwa yeye ndio aliyeupokea huo mkanda usiku akakumbusha kuhusu ule mzigo wakadhani movie wote wapo sebuleni kitu kikatumbukizwa kwenye deki za dvd zile chezo likaanza onyesha mbona walitafutana mule ndo mwanzo wa kuishi kwa mwele badala ya kwa mama wa kambo. Ndo maana hata kumuongelea hamuongelei
Ana shida kubwa mno. Alitegemea mzungu atakua tiba akakutana na rungu la kutaka kujiweka maisha ya nyota tano wakati mzungu ana kipato cha kawaida hivyo akaanza maisha ya kuigiza yaliyopelekea kuchukiwa na wakwe na divorce juu.