DSN
JF-Expert Member
- Feb 2, 2011
- 2,837
- 1,674
Ujambazi Uliofanya Vodacom Lowassa Aka Resti In Pisi... Jamani Kha!!!
Kha hii nchi jamaniiiiiiiiii, imeozaaaaaaaaaaaaaaaaa….
Yani imeozaaaaa..sio serikalini sio priveti
jamani next president mie naomba unipe kazi ya kuwaumbua mawaziri wako na wabunge tuuuuu,
mshahara wangu kunisomeshea wanangu shule kama
Havard basiiiiii, siitaji cash ,only ivy league schoos for my kids itatatosha….hahahahhahaha
Jamani ngojeni niwapeni kidunchu nachokijua mimi about hili balaaaaaa,
Ni hivi, huyu RENEEE si mnamkumbuka alikuwaga TIGO akapiga bonge la dili huko TIGO
na hilo dili alipiga na vijana wake waleeeeee
nisije kuwa sued hapa sasa. Hahhahah, alafu kikanuka akaondoka from TIGO
na director mpya alivyokuja tigo wale vijana alioiba nao wakatimuliwa tIGO.
Sasa mtanzania jiulize after about 4 years RENEE huyo huyo
karudishwa tena TANZANIA ili akapige dili kwenye another company…kha!!!!
Alafu sasa hii story naijua utamuuuuu jamani, Huyu RENEE kaja vodacom
jamani aliwatesa wafanyankazi wa vodacom,
kumbukeni wakati Renee anaingia voda nilikuwa niko close
na a good number of vodacom personnel.
Uwiii what he did firstt ni kuwanyang'anya managers wooooooote
magari ya kampuni, ilikuwa ni shidaaaaa, waliachiwa magari wale mabosi wakubwa
ila mabosi wa level ya pili woooote walinyanganywa,
one of my friends at the time alikuwa maanger yani kidogo aache kazi….
Cha pili alichofanya akasema no more vodacom miss Tanzania,
alivyo na roho mbaya yule baba, na ndo hiyo ikapelekea
Miss Tanzania kupauka kiasi hiki cha sasa hivi,.
Imahine vodacom ilikuwa inatoa msaada mkubwa sana kwa
watanzania kupitia miss tanzania na miss tz sio siri miss tz
imeadhirika sana baada ya kupigwa chini na vodacom…
ETI alaikuwa anajifanya ana save spending ya kampuni,
mfyuu kumbe ana dunduliza aibe nyingi zaidi..
Hayo hapo juu chamtoto babake, guess what else he did.
Akaanza kuwapangua waafanyakazi sasa, mabosi waliokuwa
sehemu zenye pesa kama marketing hivi wakapigwa chini
shogangu mmoja alikuwa marketing manager, akapiga chiniiiiii
mbayaaaaaa jamani bila sababu maalum, sasa tukajua okay
labda analeta watu wa maaana kutoka nchi za nje labda analeta wazungu, hahahahha,
uwiiiii kaletkumbe kaenda kumleta mbongo tena mmoja wa vijana wake alioiba nao
TIGOOOOOOOOOOO , imagine marketing manager alietolewa ana
MASTERS at that time time katolewa for someone with less education sasa,
Uwiiiiiiiiii tulikaaaaa chini kwanza kwa butwaa, na kila kitu alichokuwa
annafanya kilikuwa kinakuwa signed off na hawa
board of directors kina hao kina Lowassa sijui nani….
Alafu sasa kwani unadhani huyo marketing manager
alietolewa ni kwamba alishushwa cheo hapana aliambiwa
akatafute tu department ingine akawe manager, na bosi mkubwa
kabisa wa marketing I think alikuwaga yule dada (sitaki mtaja jina kwenye story kama hizi)
kama mnakumbuka vizuri na yeye akatolewaaaaaaa
akahamisshiwa department isiyohusiana na mahela…
hahahhahahaha,yule baba ni noma nyieeeeeee,
alafu nafasi ya huyo dada akampa a none Tanzanian jamaaa mwingine ambae
Renee alishapiga nae dili in another country kama hili nchi ingine……
Jamani in short RENEE ni CEO wa upigaji basiii na
wanaompa kazi wanakuwa wanajua kabisa RENEE anaenda pale kufanya nini…..
Yani ni hivi walimleta Reneee specifically apige dili
kama alilopiga TIGO…hahhahahahahhahah
Hii article inamuongelea Renee as if na yeye alikuta hili dili
linapigwa, nope si mmeona wamesema dili limeanza 2012,
thats the yr RENEE kaanza kazi jamani RENEE alijipanga nyie,
alitaka wafanyaka close to him wawe ni watu ambao ameshaiba
nao before basiiiii, hatakiwa watu wapyaaa…hahahahh
Hivi mnajua kwamba siku ya kwanza Renee anaingia Vodacom
watu kibao tunachekaaa maaana kila mtu anajua Reneee anapiga dili
na alivyowaleta watu wake kutoka TIGO ndo ikawa kituko sasa….
sasa jiulzie ni nchi gani MD aliepata scandal anarudi tena kazini tena sama country…
Huyu FRED LOWASSA SI MTOTO WA LOWASSA HUYU???
MFYUUUU…
Yani kidogo nidanganyike niingie TEAM LOWASSA ila hapana
jamani huyu baba kila uwizi wa mapesa makubwa makubwa last name yake haikosekani jamani……
Hapanaaaaaa na hiyo kampuni si ya kwake ila mwanae ndo kawekwa kichwa hapo?
CCM mmebakiwa na Mwakiyembe sijui na Magufuli yani this time CCM sijui watamsimamisha nani jamani
majangaaaaaaaaa
Ila jamani yote tisa kumi this is too funny for me jamani,
hivi mnajuwa kuwa 3 yrs ago some of us tulikuwa tunasema
kabisa hili dili linapigwa sasa hiiv na limepigwa…. Kha!! alafu mchana kweupeeeeeeeeeeeeeeee…
BONGO NOMAAAA,
Alafu mnaojua vizuri hizi pesa zimepigwajwe embu tupeni story
basi, maana wengine hatujua hizo card za simu zinafanywaje hahahah
Kha hii nchi jamaniiiiiiiiii, imeozaaaaaaaaaaaaaaaaa….
Yani imeozaaaaa..sio serikalini sio priveti
jamani next president mie naomba unipe kazi ya kuwaumbua mawaziri wako na wabunge tuuuuu,
mshahara wangu kunisomeshea wanangu shule kama
Havard basiiiiii, siitaji cash ,only ivy league schoos for my kids itatatosha….hahahahhahaha
Jamani ngojeni niwapeni kidunchu nachokijua mimi about hili balaaaaaa,
Ni hivi, huyu RENEEE si mnamkumbuka alikuwaga TIGO akapiga bonge la dili huko TIGO
na hilo dili alipiga na vijana wake waleeeeee
nisije kuwa sued hapa sasa. Hahhahah, alafu kikanuka akaondoka from TIGO
na director mpya alivyokuja tigo wale vijana alioiba nao wakatimuliwa tIGO.
Sasa mtanzania jiulize after about 4 years RENEE huyo huyo
karudishwa tena TANZANIA ili akapige dili kwenye another company…kha!!!!
Alafu sasa hii story naijua utamuuuuu jamani, Huyu RENEE kaja vodacom
jamani aliwatesa wafanyankazi wa vodacom,
kumbukeni wakati Renee anaingia voda nilikuwa niko close
na a good number of vodacom personnel.
Uwiii what he did firstt ni kuwanyang'anya managers wooooooote
magari ya kampuni, ilikuwa ni shidaaaaa, waliachiwa magari wale mabosi wakubwa
ila mabosi wa level ya pili woooote walinyanganywa,
one of my friends at the time alikuwa maanger yani kidogo aache kazi….
Cha pili alichofanya akasema no more vodacom miss Tanzania,
alivyo na roho mbaya yule baba, na ndo hiyo ikapelekea
Miss Tanzania kupauka kiasi hiki cha sasa hivi,.
Imahine vodacom ilikuwa inatoa msaada mkubwa sana kwa
watanzania kupitia miss tanzania na miss tz sio siri miss tz
imeadhirika sana baada ya kupigwa chini na vodacom…
ETI alaikuwa anajifanya ana save spending ya kampuni,
mfyuu kumbe ana dunduliza aibe nyingi zaidi..
Hayo hapo juu chamtoto babake, guess what else he did.
Akaanza kuwapangua waafanyakazi sasa, mabosi waliokuwa
sehemu zenye pesa kama marketing hivi wakapigwa chini
shogangu mmoja alikuwa marketing manager, akapiga chiniiiiii
mbayaaaaaa jamani bila sababu maalum, sasa tukajua okay
labda analeta watu wa maaana kutoka nchi za nje labda analeta wazungu, hahahahha,
uwiiiii kaletkumbe kaenda kumleta mbongo tena mmoja wa vijana wake alioiba nao
TIGOOOOOOOOOOO , imagine marketing manager alietolewa ana
MASTERS at that time time katolewa for someone with less education sasa,
Uwiiiiiiiiii tulikaaaaa chini kwanza kwa butwaa, na kila kitu alichokuwa
annafanya kilikuwa kinakuwa signed off na hawa
board of directors kina hao kina Lowassa sijui nani….
Alafu sasa kwani unadhani huyo marketing manager
alietolewa ni kwamba alishushwa cheo hapana aliambiwa
akatafute tu department ingine akawe manager, na bosi mkubwa
kabisa wa marketing I think alikuwaga yule dada (sitaki mtaja jina kwenye story kama hizi)
kama mnakumbuka vizuri na yeye akatolewaaaaaaa
akahamisshiwa department isiyohusiana na mahela…
hahahhahahaha,yule baba ni noma nyieeeeeee,
alafu nafasi ya huyo dada akampa a none Tanzanian jamaaa mwingine ambae
Renee alishapiga nae dili in another country kama hili nchi ingine……
Jamani in short RENEE ni CEO wa upigaji basiii na
wanaompa kazi wanakuwa wanajua kabisa RENEE anaenda pale kufanya nini…..
Yani ni hivi walimleta Reneee specifically apige dili
kama alilopiga TIGO…hahhahahahahhahah
Hii article inamuongelea Renee as if na yeye alikuta hili dili
linapigwa, nope si mmeona wamesema dili limeanza 2012,
thats the yr RENEE kaanza kazi jamani RENEE alijipanga nyie,
alitaka wafanyaka close to him wawe ni watu ambao ameshaiba
nao before basiiiii, hatakiwa watu wapyaaa…hahahahh
Hivi mnajua kwamba siku ya kwanza Renee anaingia Vodacom
watu kibao tunachekaaa maaana kila mtu anajua Reneee anapiga dili
na alivyowaleta watu wake kutoka TIGO ndo ikawa kituko sasa….
sasa jiulzie ni nchi gani MD aliepata scandal anarudi tena kazini tena sama country…
Huyu FRED LOWASSA SI MTOTO WA LOWASSA HUYU???
MFYUUUU…
Yani kidogo nidanganyike niingie TEAM LOWASSA ila hapana
jamani huyu baba kila uwizi wa mapesa makubwa makubwa last name yake haikosekani jamani……
Hapanaaaaaa na hiyo kampuni si ya kwake ila mwanae ndo kawekwa kichwa hapo?
CCM mmebakiwa na Mwakiyembe sijui na Magufuli yani this time CCM sijui watamsimamisha nani jamani
majangaaaaaaaaa
Ila jamani yote tisa kumi this is too funny for me jamani,
hivi mnajuwa kuwa 3 yrs ago some of us tulikuwa tunasema
kabisa hili dili linapigwa sasa hiiv na limepigwa…. Kha!! alafu mchana kweupeeeeeeeeeeeeeeee…
BONGO NOMAAAA,
Alafu mnaojua vizuri hizi pesa zimepigwajwe embu tupeni story
basi, maana wengine hatujua hizo card za simu zinafanywaje hahahah