Culture Me
JF-Expert Member
- May 24, 2017
- 10,447
- 21,161
alishaachwa siku nyingi dear yupo tu usa kwa ajili ya watotoNi kweli,lakini yanakuusu nn? Naongea na huyo kimambi, yani wew kazi yako ni hiyo tu wallah czan kama mmeo anajua hili na cku akijua atakuacha maana wew huna mda nayako kazi kufata yawenzio tu kwani umemzaa wew adi umshairi mxewww
alikufa mkuu siku ya birthday ya luluSeki alikufa?
Ana nini? Natabiri kuwa atakuja kuwa waziri wa jinsia wanawake a watoto baada ya miaka 3Hivi mange ana nini lakini?
Nisaidie kushangaaWabongo bwanaa hawampendi mtu halafu wanamfatilia
Wanaafiki Mimi mtu kama simfagilii wala simufollow hata kidogo!mana najua atanikera tuNisaidie kushangaa
Mmhhh cjui nilikua wapi maana ckuckia hii habarialikufa mkuu siku ya birthday ya lulu
Hivi yule Seki kilichomuua ni nini maana Mange anasema sio meza ...shoga una ubuyu wowote?Wanaafiki Mimi mtu kama simfagilii wala simufollow hata kidogo!mana najua atanikera tu
Ushajua kufua chyupiPunguza povu shosti naona una sura kama bibi usipitwe
ntakupa DM nnao ngoja nifike nyumbaniHivi yule Seki kilichomuua ni nini maana Mange anasema sio meza ...shoga una ubuyu wowote?
Shost hujafika home tuu?ntakupa DM nnao ngoja nifike nyumbani
NshafikaShost hujafika home tuu?
Can't wait....
and about lulu nlikua sijagusia, dada yenu mange angeachia tu ushauri hapo kwamba mdogo wangu liz just chill off the social media for now basi angeeleweka, khaa akaanza kueleza mapungufu ya jinsi wanasheria wanavofanya kazi (laughing out loud)yani huyu dada is a know-it-all as if amepitia hata darasa moja la sheria af na wenzie wana msapoti, sitaki kuwaita lay men ila they aint so far from the title. jamani hakuna mahakama inayo rely kwenye mere opinions za wana jamvi wa instagram or any other social media, mange anakwambia ye angekua wakili wa serikali angegalagala mahakamani smh someone hold her hand and tell her its even a contempt of court to walk in with your noisy foot steps live alone kugalagala jamani muwe mnamsaidia mange mama usipitwe.. watu washamuona akili zake ndo maana wameanza kumtumia fake info end of the day anaonekana muongo(of which sijui if she is not lol) daah mange take it in that sometimes uache yapite tu. we support your movements ila kuna mda unazidi hadi ambao hawajakustukia kwamba unaji console watashtuka sasa.. mdogo mdogo mamie eeh.. haya wale minions wa mange kama nawaona mtakuja kuibua hoja mnazozijua sijui kutetea plz nifkishieni ujumbe kwa psycholgists(maana sie wengine hatujasoma) wamsaidie huyu dada ku recover from the mental breakdown the bullying technique has an end itambidi apone she has a family to watch over. thank you and goodnight
mradi hampendi basi shida tupuWe nawe wivu umekujaa kwa Mange ,alichoongea kuhusu Lulu unakubaliana nae au hukubaliani ? Why?
Ready!!Shost hujafika home tuu?
Can't wait....
jini mautiNimekupm...
Duuh ni hataree