Mange amshambulia Lulu

Ni kweli,lakini yanakuusu nn? Naongea na huyo kimambi, yani wew kazi yako ni hiyo tu wallah czan kama mmeo anajua hili na cku akijua atakuacha maana wew huna mda nayako kazi kufata yawenzio tu kwani umemzaa wew adi umshairi mxewww
alishaachwa siku nyingi dear yupo tu usa kwa ajili ya watoto
 
and about lulu nlikua sijagusia, dada yenu mange angeachia tu ushauri hapo kwamba mdogo wangu liz just chill off the social media for now basi angeeleweka, khaa akaanza kueleza mapungufu ya jinsi wanasheria wanavofanya kazi (laughing out loud)yani huyu dada is a know-it-all as if amepitia hata darasa moja la sheria af na wenzie wana msapoti, sitaki kuwaita lay men ila they aint so far from the title. jamani hakuna mahakama inayo rely kwenye mere opinions za wana jamvi wa instagram or any other social media, mange anakwambia ye angekua wakili wa serikali angegalagala mahakamani smh someone hold her hand and tell her its even a contempt of court to walk in with your noisy foot steps live alone kugalagala jamani muwe mnamsaidia mange mama usipitwe.. watu washamuona akili zake ndo maana wameanza kumtumia fake info end of the day anaonekana muongo(of which sijui if she is not lol) daah mange take it in that sometimes uache yapite tu. we support your movements ila kuna mda unazidi hadi ambao hawajakustukia kwamba unaji console watashtuka sasa.. mdogo mdogo mamie eeh.. haya wale minions wa mange kama nawaona mtakuja kuibua hoja mnazozijua sijui kutetea plz nifkishieni ujumbe kwa psycholgists(maana sie wengine hatujasoma) wamsaidie huyu dada ku recover from the mental breakdown the bullying technique has an end itambidi apone she has a family to watch over. thank you and goodnight

We nawe wivu umekujaa kwa Mange ,alichoongea kuhusu Lulu unakubaliana nae au hukubaliani ? Why?
 
Back
Top Bottom