Manesi wa kike na ndoa zao zilivyo hatarini!

Manesi wa kike na ndoa zao zilivyo hatarini!

bishankara

Senior Member
Joined
Feb 21, 2012
Posts
140
Reaction score
8
Naomba wadau tujadili haya mambo mawili juu ya madada/mama zetu wa kada ya unesi. 1. Ni kwa nini familia nyingi sana ambazo mama ni nesi walishatengana na waume zao? (kutokana na uchunguzi mdogo kwa familia ninazozifahamu na hata taarifa kutoka kwa watu wa karibu na familia kama hizo) 2. Kwa nini madada waliopo katika kada hii wanachelewa kuolewa? (pia hii ni kutokana na mm kuona mwenyewe kwa wahusika wengi? Nawasilisha kwa michango yenu wadau.
 
Wao wanapata MULTCHOICE kazi zao zanawapa nafasi ya kuwa na Multiple choice
 
Manesi wengi ninao wajua hawajaolewA....na wengine wamezaa hawana waume na kazini ukiwaangalia wanastreeeesss vibaya..me nilijiuliza hilo swali sijapata jibu...ni sababu ya ubize wa kazi ama
 
Manesi wengi ninao wajua hawajaolewA....na wengine wamezaa hawana waume na kazini ukiwaangalia wanastreeeesss vibaya..me nilijiuliza hilo swali sijapata jibu...ni sababu ya ubize wa kazi ama

Tuendelee kutafuta sababu make hata mm nataka kujua ni kwa nn.
 
Sijui kwa nini hawaolewi au kwa nini wanatengana!ila kuhusu stress ni kweli moja ya sababu ni kwamba kazi ya kuuguza ni bonge la stress!ni wito ila inaumiza hasa!mimi ni muuguzi na ni kazi ambayo haizoeleki!huwezi kuzoea kuona maiti hata siku moja!kila mgonjwa na unique!nikipata muda nitawaeleza wauguzi wenzangu jinsi ya kuepukana na stress!najivunia kuwa muuguzi!
 
Sijui kwa nini hawaolewi au kwa nini wanatengana!ila kuhusu stress ni kweli moja ya sababu ni kwamba kazi ya kuuguza ni bonge la stress!ni wito ila inaumiza hasa!mimi ni muuguzi na ni kazi ambayo haizoeleki!huwezi kuzoea kuona maiti hata siku moja!kila mgonjwa na unique!nikipata muda nitawaeleza wauguzi wenzangu jinsi ya kuepukana na stress!najivunia kuwa muuguzi!

Hongera kwa kuipenda kazi yako, kama unaweza ungetufafanulia kwa nini mnachelewa au hamuolewi kabisa.!!!
 
Sijui kwa nini hawaolewi au kwa nini wanatengana!ila kuhusu stress ni kweli moja ya sababu ni kwamba kazi ya kuuguza ni bonge la stress!ni wito ila inaumiza hasa!mimi ni muuguzi na ni kazi ambayo haizoeleki!huwezi kuzoea kuona maiti hata siku moja!kila mgonjwa na unique!nikipata muda nitawaeleza wauguzi wenzangu jinsi ya kuepukana na stress!najivunia kuwa muuguzi!

Asante kwa kuweka ukweli unaoujua. Lakn naomba nikuulize, vp lakini, unakubaliana na mm kuwa hawaolewi na walioolewa hawadumu kwenye ndoa zao? Naomba experience yako.
 
Manesi wa siku hizi wazuri sana...sijui inakuwaje....
 
Mi jirani yangu ni Nesi wa Bugando na ni Mama mtu mzima. Aliolewa mara ya kwanza akaachika ila kwasasa yupo na mme wake kama miaka 9 ila hawajapata Mtoto na huyu Mme wa sasa.
HIYO SIO KWELI!
 
Mi jirani yangu ni Nesi wa Bugando na ni Mama mtu mzima. Aliolewa mara ya kwanza akaachika ila kwasasa yupo na mme wake kama miaka 9 ila hawajapata Mtoto na huyu Mme wa sasa.
HIYO SIO KWELI!

Unasema sio kweli kwa hiyo sample ya jirani yako tuu au kuna sababu nyingine...
 
Bora anaejua aweke waz kwasababu mm nina mchumba n nes
 
Mimi nimeolewa mapema sana na ni wengi wameolewa ninachojua ni kwamba kila mtu anapangiwa na Mungu mwenza wa kumuoa au aina ya maisha.manesi wengi wameolewa na wanaishi na familia zao!hao wachache ambao hawajaolewa kila kada wapo!
 
Mi jirani yangu ni Nesi wa Bugando na ni Mama mtu mzima. Aliolewa mara ya kwanza akaachika ila kwasasa yupo na mme wake kama miaka 9 ila hawajapata Mtoto na huyu Mme wa sasa.
HIYO SIO KWELI!

Umeshasema aliachika that means nae anaingia kwa category hiyo hiyo
 
Back
Top Bottom