Manesi nao wanatutega mahospitalini...!

Jamani hiyo ni sehemu ya tiba; si umesema mwenyewe hata maumivu yaliisha!. Ungekuta amenuna ungetoka na maumivu zaidi na ungesemahosp. haifai.
 
Sisi binadamu hatuna wema kabisa......! Yule dada wa watu pengine hata mawazo ya kumaanisha hicho unachotaka kutuaminisha hapa hakuwa nayo kabisa! kuna manesi wapo charming sana, akiwa anakuhudumia unatamani ni huyo huyo tu aje akuone, ipo ile mibandidu, hutaki hata lije likuone hata kama linamiumbo ya kimitego!

Na kwangu mimi nesi huyo possibly yuko hivo kwa wagonjwa wake wote, na huwafanyia hivo as part of healing process na si kwamba huwa anamaanisha.....! tatizo sisi miafrika demu akitabasamu au akuchekea au kakupiga bega unajua tayari imekufia au anakumind.....!

Similary huyo nesi angekuja na kauli za kijeshi.....vua ngua haraka, rara hapo kitandani, shusha suruali etc ungekuja tena kulalamika wewe.....!

Acheni hizo fikra potofu sometimes wandugu....!




Hili nalo neno...................lol...
 
Tusiangalie upende mmoja tuu, hebu tuangalia upande wa wagonjwa wenyewe, kwanza naweza sema nimesha wahi patwa na tatizo hilo la ma nurse kuwa wakali na kuonyesha hasira moja kwa moja kwangu lakini tatizo hilo huisha si chini ya dakika moja na bila ya ku toa chochote, unadhani kwanini? . jibu ni kumuoneysha upende nurse na kumjali hapo tuu ndio dawa pekee, Wagonjwa wengi wanakua wakorofi na teari wanakua wamesha jijengea manesi ni katili ,kitu ambacho jina leta uhasama kati ya mhgonjwa na nesi, kumbuka manesi wana fanya kazi kwnye mazingira duni na magumu ,lazima iwasumbue na wewe mgonjwa tambua hilo jaribu kuleta ushirikiano.
 
Nimetoka kwenye hospitali moja for CT Scan..
Nikaambiwa niingie ktk chumba kimoja hivi kwa ajili ya kupimwa..akaingia nesi mmoja yani nashkuru nimetoka salama kwakweli na hata yale maumivu niliyokua nikiskia yamepotea kabisa! mwe..hata kwa wagonjwa

Nahisi nesi alilijua tatizo lako na akalifanyia kazi
Vizuri sasa si unaona maumivu yamekwisha. Au hukutaka yaishe?
 
We ChweChwe mbona unavituko hivyo, umeshajua jina la hosp lakini?

Bado cjajua! mi ht nikipata no. za huyo nesi itakua bomba zaidi mana ataenda kunifanyia scan y kifua nyumban kwake.
 
Hongera kama ulitoka bila kubadili mwenendo ni vizuri.

Wako kazini wewe ndiye unateseka.
 
yaani mpaka uvulishwe nguo? hao manesi hawakuwa na kazi za kufanya? mmh
alipoingia akaniambia itabd uvue nguo kisha ulale pale kitandani..nikamuuliza zote? akajibu ndio! wakati bado nashangaashangaa akaniuliza au nikuvue?
Nikamwambia sii mbaya..akasema inaonekana umechoka akashika tai yangu akatoa then shati akamalizia na vest. Akataka kuvua mkanda nikamwambia huku nitamalizia..baada ya kulala kitandani (ofcz nilibaki na bukta) kwa mshangao eti akauliza kumbe una garden love(nywele za kifuani)
Basi alifanya vituko kibao huku akinipima akauliza kama nimeoa na mengine kibao
 
Back
Top Bottom