Maneno yanayotamkwa na mashehe yanahamasisha machafuko nchini lakini hawachukuliwi hatua kwasababu tu wanawatetea CCM

Maneno yanayotamkwa na mashehe yanahamasisha machafuko nchini lakini hawachukuliwi hatua kwasababu tu wanawatetea CCM

Hziyech22

JF-Expert Member
Joined
Jun 8, 2019
Posts
16,997
Reaction score
23,638
Kama Taifa tumefikia hatua mbaya ni Kama vile hatuna kiongozi kwa huyo kila mtu anajikuta kambale wanaongea chochote wanachojisikia.

Hawa wanajiita waadhiri wa kiislamu kwa kweli kauli walizotoa si za kiungwana zinahamasisha machafuko ya kidini na mgawanyo wa kijamii lakini hakuna hatua wazochukuliwa Wala hawajapewa kesi ya uhaini na police Kama tulivyozoea na machawa usikii wakizungumza hili ni kwasababu ina maslahi ya CCM.

Kwa namna hii tunajenga Taifa la namna gani? Na huwezi kusikia watu Kama hawa wakitekwa, tukisema serikali ndio inahussika na utekaji machawa wao wanakuja juu, tukisema polisi ni washirika wa CCM tutakuwa tumekosea?

Mbona wanatoa kauli mbaya zenye Nia mbovu zenye mlengo wa kusifia serikali mbona hatua za kisheria hawachukuliwi?Na usikii tamko lolote la serikali
 
Imagine wangekuwa wanahamasisha maandamano muda huu wangekuwa wapi?!.

Na kwa taarifa yako wale mashehe wote pale baada ya kutoa tamko bahasha za kaki zilikuwa zinawasubiri nje ya ukumbi!.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom