nyaggad
JF-Expert Member
- Dec 28, 2014
- 1,160
- 692
Habari wana jf!
Wote tunatambua mahusiano ya mapenzi yana changamoto nyingi lakini kubwa kuliko yote ni la kuchepuka,haya ni baadhi ya maneno nisiyoyapenda mwanamke wangu ayatumie kujitetea pale ninapothibitisha amechepuka na mwanaume mwingine!
1)shetani alinipitia,huwa sipendi sana mwanamke wangu ajitetee kwa neno hili pale anaponikosea hasa kuchepuka kwanza nitamuuliza "nitaaminije kama shetani alikupitia?,nenda kamwite ni muulize?,pili huyo shetani ni ndugu yako au ni Rafiki yako?na kwa nini akupitie?na kwa nini ukubali akupitie ukachepuke?
2)Mimi ni binadamu sijakamilika"not perfect",yani huwa sipendi kabisa neno hili alitumie pale anaponikosea nitamuuliza "una kitu gani ambacho hujakamilika una matatizo ya Akili?na kama kweli hujakamilika umejuaje kama umefanya kosa?
Hayo maneno ya "Defense mechanism"huwa yanatumiwa na watu waongo sana ili kuonekana makosa waliyofanya hawakukusudia kitu ambacho si kweli!,Mimi huwa napenda sana ukweli kwenye mahusiano ya mapenzi na siku zote naamini kila kitu kinatokea kwa sababu hakuna kinachotokea kwa bahati mbaya,kwa mfano amechepuka,nikimuuliza "kwa nini amechepuka?"napenda anipe sababu zenye uhalisia kama hizi!
1)nilichepuka kwa sababu siku hizi hunipatii pesa ya mahitaji yangu!au
2)nilichepuka kwa sababu siku hizi show zako za 6*6 zimekuwa za kichovu!
3)nilichepuka kwa sababu genye zilipanda nikashindwa kujizuia na wewe ulikuwa mbali!
Akinipa sababu kama hizo,naweza nikamsamehe kwa sababu nitajua ni kiasi gani Mimi nimesababisha mpaka yeye kuchepuka lakini sio visingizio vya "shetani alinipitia na sijakamilika"
Je wewe ni maneno gani ya kujitetea huyapendi kuyasikia endapo mpenzi wako ata kukosea?
Wote tunatambua mahusiano ya mapenzi yana changamoto nyingi lakini kubwa kuliko yote ni la kuchepuka,haya ni baadhi ya maneno nisiyoyapenda mwanamke wangu ayatumie kujitetea pale ninapothibitisha amechepuka na mwanaume mwingine!
1)shetani alinipitia,huwa sipendi sana mwanamke wangu ajitetee kwa neno hili pale anaponikosea hasa kuchepuka kwanza nitamuuliza "nitaaminije kama shetani alikupitia?,nenda kamwite ni muulize?,pili huyo shetani ni ndugu yako au ni Rafiki yako?na kwa nini akupitie?na kwa nini ukubali akupitie ukachepuke?
2)Mimi ni binadamu sijakamilika"not perfect",yani huwa sipendi kabisa neno hili alitumie pale anaponikosea nitamuuliza "una kitu gani ambacho hujakamilika una matatizo ya Akili?na kama kweli hujakamilika umejuaje kama umefanya kosa?
Hayo maneno ya "Defense mechanism"huwa yanatumiwa na watu waongo sana ili kuonekana makosa waliyofanya hawakukusudia kitu ambacho si kweli!,Mimi huwa napenda sana ukweli kwenye mahusiano ya mapenzi na siku zote naamini kila kitu kinatokea kwa sababu hakuna kinachotokea kwa bahati mbaya,kwa mfano amechepuka,nikimuuliza "kwa nini amechepuka?"napenda anipe sababu zenye uhalisia kama hizi!
1)nilichepuka kwa sababu siku hizi hunipatii pesa ya mahitaji yangu!au
2)nilichepuka kwa sababu siku hizi show zako za 6*6 zimekuwa za kichovu!
3)nilichepuka kwa sababu genye zilipanda nikashindwa kujizuia na wewe ulikuwa mbali!
Akinipa sababu kama hizo,naweza nikamsamehe kwa sababu nitajua ni kiasi gani Mimi nimesababisha mpaka yeye kuchepuka lakini sio visingizio vya "shetani alinipitia na sijakamilika"
Je wewe ni maneno gani ya kujitetea huyapendi kuyasikia endapo mpenzi wako ata kukosea?