Wengi tumezoeshwa kwamba siasa ni uongo na mchezo mchafu. Hapana. Moja ya suala ambalo CUF na viongozi wake tunalisimamia na kutaka watanzania waamini kuwa siasa si uongo wala si mchezo mchafu bali baadhi ya wanasiasa ndio waongo na wachafu.
Kama viongozi wanaweza kusema uongo wa kiwango cha uharo wa bata wakiwa nje ya Ikulu watakunya nini hawa wakiingia Ikulu? Kama kuna viongozi wanaweza kuiba wake za watu na kuja jukwaani kujisifu kwamba wao ni wezi wa wake za watu, je, wakiwa Ikulu watafanyaje hawa? Watawapanga foleni wanawake wote waliopo pale kwa uwezo wa madaraka yao ya urais na kuwalazimisha kufanya nao ngono.
Hivyo tunategemea hawa wakajenge nyumba ya umalaya pale Ikulu. Je, nyie ndiyo mnashangilia hayo? Eti kunja ngumi, ngumi gani ya wizi wa wake za watu? Eti kunja ngumi, ngumi ya kutengeneza vifo vya Watanzania wenzetu?
kati ya juma duni haji na wewe nani anahukumu?Wewe Juma Duni Haji uliwekwa kizuizini na mjoma wako Salimin Amoor wewe na wenzio mlizungumza mengi sana tuache hayo
Havi nyie mnaona dhambi ni uzinifu tu?
Si nyie CUF ndio mnasadikiwa mmemuuwa padiri kwa risasi ya moto, Je Juma Duni Haji unaona hiyo siyo dhambi ,dhambi ni kuzini tu?
Nyie CUF mmemwagia wazungu tindi kali mmeona hoyo dhambi dhambi ni kuzini tu
Nyie CUF jana mmemwagia padri tindikali, siyo dhambi dhambi ni kuzini tu,
Nyie CUF mbona mnakuwa kama wasomali ambao wana dini mmoja , lakini kuuwa hawaoni kama ni dhambi ila dhambi ni kunywa pombe tu
Juma Duni Haji akili zako ziko kwenye magoti,usihukumu watu na wewe utahukumiwa na unafiki wenu.
nyani.........................................................juma duni ndo nani???
nyani.........................................................
Mkuu hii hoja nimeileta kuuliza huu muungano ni unafiki? na mimi nitazidi kuamini ni unafiki kwasababuBoko haram,
..makala uliyoileta ni ya zamani kidogo.
..sasa hivi mambo yamebadilika.
..CDM, na CUF, wote wanaunga mkono mfumo wa serikali 3.
..sioni kwanini vyama hivyo visishirikiane wakati huu wa mjadala wa rasimu ya katiba mpya.
CUF huwa siwakubali ila kwa hili, Jiti la Duni limegonga Rectum ya Chadema, ofisi ya Mwanasheria Mkuu wa Serikal ya CCM (AG) kawatetea Tundu Lissu na Mnyika mpaka wameshinda kesi ya Uchaguzi ila hawalitangazi hili!
Mtoa mada rejea kauli ya mnyaa, bila shaka maneno hayo alisema duni kitambo kabla ya haya yanayotokea sasa, hakuna adui wa kudumu au rafiki wa kudumu katika siasa.
Tunajua magamba mmeshaanza kuogopa hizi dalili za mashirikiano ya vyama vya siasa, hivyo sasa mmeanza kututia fitana kwa kutuletea maneno ya yliyotamkwa na akina duni huko nyuma,,,katu hayana nafasi,,,naomba chadema, nccr na cuf wafikirie namna ya kuunganisha nguvu 2015 ili magamba muweze kuumbuka.