KYAMTUNDU
JF-Expert Member
- Mar 7, 2013
- 1,820
- 295
CUF huwa siwakubali ila kwa hili, Jiti la Duni limegonga Rectum ya Chadema, ofisi ya Mwanasheria Mkuu wa Serikal ya CCM (AG) kawatetea Tundu Lissu na Mnyika mpaka wameshinda kesi ya Uchaguzi ila hawalitangazi hili!
Ofisi ya Mwanasheria Mkuu huijawahi kumtetea Lissu wala Mnyika!
Ofisi hiyo ni sehemu ya mshitakiwa!
Mshitakiwa hawezi kumtetea mshitakiwa mwenziye!
CHADEMA walijitetea wenyewe, na AG alijitetea mwenyewe!
Au una maoni gani kwenye zile kesi ambazo CHADEMA huwa inapoteza?
E.g: Sumbawanga Mjini, Igunga?