Maneno ya busara kwa wanaume

Maneno ya busara kwa wanaume

Kwa nini mkuu
Ukioa ngozi ya kitimoto utapata taabu sana kwa kuishi kwa shinikizo la utamaduni tofauti na wa kwetu.

Mfano kuna jamaa mmoja mtanzania alioa mwanamke wa Sweden amezaa nae watoto watatu, wawili wa kiume na mmoja wa kike. Kijana wake wa kiume wa kwanza kuzaliwa ni shoga na mama yake na ndugu wote upande wa mama wanamsapoti ila baba hapendi. Hali hiyo imesababisha ugomvi na mgogoro mkubwa sana katika ndoa yao
 
Ukioa ngozi ya kitimoto utapata taabu sana kwa kuishi kwa shinikizo la utamaduni tofauti na wa kwetu.

Mfano kuna jamaa mmoja mtanzania alioa mwanamke wa Sweden amezaa nae watoto watatu, wawili wa kiume na mmoja wa kike. Kijana wake wa kiume wa kwanza kuzaliwa ni shoga na mama yake na ndugu wote upande wa mama wanamsapoti ila baba hapendi. Hali hiyo imesababisha ugomvi na mgogoro mkubwa sana katika ndoa yao
Nimekuelewa mkuu,changamoto ni tamaduni tu
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom