Katika mambo ambayo Mwanaume kajaaliwa ni vile kuwa na uwezo wa kumshawishi mwanamke hadi akakubali kusaula kila alicho kivaa na kubaki mtupu!hata kama msichana ana aibu au ana cheo kikubwaaa, akipigwa yale maneno atatoa tu na kuanza kujifunika ngumi wakati ametoa mwenyewe!
Hebu we mdada tuambie kiwango cha alcohol ya maneno ya wanaume ambacho kinacho wafanya muanze kutoa nguo bila hata kushikiwa mtutu wa bunduki,tena mnatoa zote na kujikabidhi kwa mwanaume huku mkiwa na sura ya kihurumahuruma !Kinadada hebu tuambieni baadhi ya maneno mliyo ambiwa na muwapendao hadi yaka wavulisha nguo ilihali mnaakili timamu.
Mwanaume unakumbuka maneno gani ulimwambia yule binti hadi akapoteza aibu kuu na kuanza kusaura?mwaga jamvini!
Hebu we mdada tuambie kiwango cha alcohol ya maneno ya wanaume ambacho kinacho wafanya muanze kutoa nguo bila hata kushikiwa mtutu wa bunduki,tena mnatoa zote na kujikabidhi kwa mwanaume huku mkiwa na sura ya kihurumahuruma !Kinadada hebu tuambieni baadhi ya maneno mliyo ambiwa na muwapendao hadi yaka wavulisha nguo ilihali mnaakili timamu.
Mwanaume unakumbuka maneno gani ulimwambia yule binti hadi akapoteza aibu kuu na kuanza kusaura?mwaga jamvini!