Maneno matatu muhimu katika mahusiano

Maneno matatu muhimu katika mahusiano

zombi

JF-Expert Member
Joined
May 6, 2008
Posts
1,620
Reaction score
1,344
Wanajamii, Leo nimeona tukumbushane Maneno 3 muhimu Ktk mahusiano,

"nakupenda, samahani na asante".

Matumizi ya maneno haya yamepungua Sana ktk mahusiano yetu na Kwa wengine hayapo Kabisa.

Na Hii ndio sababu ya break-ups nyingi.

Tafakari na uvae uhusika ktk hil, utaona direction ktk mahusiano yako hasa Kwa wale walio Ktk Ndoa.
 
Wanajamii, Leo nimeona tukumbushane Maneno 3 muhimu Ktk mahusiano, "nakupenda, samahani na asante". Matumizi ya maneno haya yamepungua Sana ktk mahusiano yetu na Kwa wengine hayapo Kabisa. Na Hii ndio sababu ya break-ups nyingi. Tafakari na uvae uhusika ktk hil, utaona direction ktk mahusiano yako hasa Kwa wale walio Ktk Ndoa.

Actually ni manne na sio matatu. Nayo ni:
  1. NAKUPENDA
  2. ASANTE
  3. SAMAHANI
  4. POLE
 
ngumu sana kwa kidume kusema "samahani"

NOTE: Exclude vi BEN TEN
 
ngumu sana kwa kidume kusema "samahani"

NOTE: Exclude vi BEN TEN
Inategemea, ukiwa unamendea game umebaniwa mzigo,utatamka tu,na plastic smiles nyingi.
 
Kiukweli mimi siku hizi kusema "nakupenda" hadi niulizwe "hivi kweli jr unanipenda?" Nimeshaacha kabisa kupenda kwasababu ya binti mmoja mjinga aliyewahi kunisomesha namba! Mabinti nilio nao wote huniuliza swali hilo kila siku! Labda pole ndo huwa naitoa kwa hiari bila unafiki
 
Kiukweli mimi siku hizi kusema "nakupenda" hadi niulizwe "hivi kweli jr unanipenda?" Nimeshaacha kabisa kupenda kwasababu ya binti mmoja mjinga aliyewahi kunisomesha namba! Mabinti nilio nao wote huniuliza swali hilo kila siku! Labda pole ndo huwa naitoa kwa hiari bila unafiki
Kwahiyo wakisikia umesema "Nakupenda" ndio wamejiaminisha? Ibanie hivyo hivyo, itamke tu pale unapoitoa kwa Moyo.
 
Kwahiyo wakisikia umesema "Nakupenda" ndio wamejiaminisha? Ibanie hivyo hivyo, itamke tu pale unapoitoa kwa Moyo.
Wanajua siwapendi ila njaa zao tu zinawapa uvumilivu. Na neno nikishalitamka kwa unafiki hata uso huwa unadhihirisha wazi, utasikia "oooh mbona unachoongea na unavyoonekana ni tofauti?" Najibu "we jua nakupenda" then nabadili mada
 
Wanajua siwapendi ila njaa zao tu zinawapa uvumilivu. Na neno nikishalitamka kwa unafiki hata uso huwa unadhihirisha wazi, utasikia "oooh mbona unachoongea na unavyoonekana ni tofauti?" Najibu "we jua nakupenda" then nabadili mada

 
Back
Top Bottom