MamaSamia2025
JF-Expert Member
- Mar 29, 2012
- 10,224
- 22,305
Hili swali lako lihifadhi hadi 2025 utajibiwa kwa vitendo kupitia sanduku la kura.Watu wanashindia MO ENERGY NA KASHATA kutokana na ugumu wa maisha , wanaichaguaje ccm ?
Hili swali lako lihifadhi hadi 2025 utajibiwa kwa vitendo kupitia sanduku la kura.Watu wanashindia MO ENERGY NA KASHATA kutokana na ugumu wa maisha , wanaichaguaje ccm ?
Kwenye kichwa cha habari umesema hayo maneno hayana maana yoyote,ikimaanisha hayana athari yoyote,sasa ni nini shida hadi wewe kutaka yaondolewe?Huu ni ushauri ninaoupeleka kwa wahusika wote pamoja na wenye mali ambao ni wananchi.
Kuwepo kwa maneno haya ya kijinga kwenye ndege zilizonunuliwa kwa hela za wananchi, au unaweka maneno haya kwenye meli zetu ni upuuzi usio na mfano. Haya yanafanywa na makondakta wa daladala za DSM kwa lengo la kujiliwaza kutokana na foleni za mkoa huo.
Kama tunataka kuchorachora ndege zetu au meli zetu basi tuchore maandishi ya maana, kama Timu ya Simba imeweka nembo ya 'VISIT TANZANIA', kwanini msifanye hivyo kwenye mali za Taifa badala ya kutuwekea mavitu yasiyo na maana?
Hivi ukiulizwa na wageni maana ya 'HAPA KAZI TU' utajibu nini? mbona mnatudhalilisha kirahisi namna hii? Tafadhali sana TUHESHIMIANE.
Kama hujaomba kuungwa mkono na yeyote,si ungeandika kwenye note book yako,umeyaleta humu ya nn?Mimi sijawahi kuomba kuungwa mkono na yeyote hapa JF , ninaandika ninachokiamini kwa lengo la kufundisha , pia sijawahi kuogopa matusi wala kulogwa
Hwbu acha maneno unajua hizo ndege zilinunuliwa kwa bei gani na kwa bajeti ipi iliyopitishwa a bunge.Huu ni ushauri ninaoupeleka kwa wahusika wote pamoja na wenye mali ambao ni wananchi.
Kuwepo kwa maneno haya ya kijinga kwenye ndege zilizonunuliwa kwa hela za wananchi, au unaweka maneno haya kwenye meli zetu ni upuuzi usio na mfano. Haya yanafanywa na makondakta wa daladala za DSM kwa lengo la kujiliwaza kutokana na foleni za mkoa huo.
Kama tunataka kuchorachora ndege zetu au meli zetu basi tuchore maandishi ya maana, kama Timu ya Simba imeweka nembo ya 'VISIT TANZANIA', kwanini msifanye hivyo kwenye mali za Taifa badala ya kutuwekea mavitu yasiyo na maana?
Hivi ukiulizwa na wageni maana ya 'HAPA KAZI TU' utajibu nini? mbona mnatudhalilisha kirahisi namna hii? Tafadhali sana TUHESHIMIANE.
Baadaye nikaandika kwamba yanadhalilishaKwenye kichwa cha habari umesema hayo maneno hayana maana yoyote,ikimaanisha hayana athari yoyote,sasa ni nini shida hadi wewe kutaka yaondolewe?
Kufundisha ili kuondoa ujingaKama hujaomba kuungwa mkono na yeyote,si ungeandika kwenye note book yako,umeyaleta humu ya nn?
Kama Kiranga anaamini mtu akifa ndio kaishia hapo basi JPM naye kaishia hapo but bottom line hayupo Tena duniani so huwezi muita mwanaume labda marehemu au Mzoga au maiti!!Kwa mtu asiyeamini hayo mambo kama Kiranga utamueleza nini?
Kivipi za huruma ilihali CCM imeshindwa Kila kitu? Hivi 2025 kwenye kampeni mtawaambia Nini wananchi? Ilihali bei ziko juu, no umeme , no Maji, no ajira, wakulima kilio n.k ni kundi Gani litawapigia kura? Mind you Mama Samia ni mzenji so Hana mtaji wa kura huku bara so bila kula za huruma hakuna mwenye akili timamu ataichagua CCMWewe mbona mzito mno kuelewa? Pamoja na uchache wa wanachama mtapata kura zaidi ya milioni moja ambazo nyingi ni kura za huruma. Bahati mbaya hazitawasaidia kushinda
Maguful ndiye aliyeanzisha kazi? Kwahiyo kabla yake hatukuwa tukifanya kazi?Nakusalimu kwa jina la jamhuri ya muungano, unatakiwa ujibu "kazi aliyoianzisha Magufuli iendelee"
sawa mkuu.Baadaye nikaandika kwamba yanadhalilisha
Ndio maana nasema kunahitajika msaada wa kisaikolojia, sasa wewe huo msemo tu ulikuwa unakuchafua unashindwa kuishi kwa raha kisa msemo ambao unakiri hauna maana yeyote.Kweli kabisa, hii slogani ilikuwa inanichefua kabisa na sikuwahi kuona maana ya "hapa kazi tu" mimi nilikuwa kila wakati najua kinachoendelea ni "hapa upigaji tu, hapa udikteta tu, hapa ubaguzi tu, hapa uuaji tu". Tufute kabisa slogani hii ya kishenzi.
Nasikia walimuuwa?Nakumbuka Helcopta iliyomuua Deo filikunjombe iliandikwa HAPA KAZI TUU
Magufuli alikuwa hajawa raisi bado
Hakika walimkolimba huyu bwanaNasikia walimuuwa?