OKW BOBAN SUNZU Platinum Member Aug 24, 2011 49,245 103,948 Nov 27, 2022 #1 Mandonga Mtu Kazi baada ya kumfumua ndoige Saidi Mbelwa ametangaza kumtaka Hassan Mwakinyo. Akihojiwa baada ya pambano amesema anaenda Qatar kupimzika, akirudi anamtaka Mwakinyo huku akimuita bondia wa mchongo.
Mandonga Mtu Kazi baada ya kumfumua ndoige Saidi Mbelwa ametangaza kumtaka Hassan Mwakinyo. Akihojiwa baada ya pambano amesema anaenda Qatar kupimzika, akirudi anamtaka Mwakinyo huku akimuita bondia wa mchongo.
ukikaidi utapigwa2 JF-Expert Member Feb 24, 2015 13,827 27,260 Nov 27, 2022 #2 Yale yale na Mayele na Kibu
Mwizukulu mgikuru JF-Expert Member Oct 21, 2021 4,742 11,103 Nov 27, 2022 #3 OKW BOBAN SUNZU said: Mandonga Mtu Kazi baada ya kumfumua ndoige Saidi Mbelwa ametangaza kumtaka Hassan Mwakinyo. Akihojiwa baada ya pambano amesema anaenda Qatar kupimzika, akirudi anamtaka Mwakinyo huku akimuita bondia wa mchongo. Click to expand... Anaenda qatar kupumzika kwa nini usimshauri aende dubai
OKW BOBAN SUNZU said: Mandonga Mtu Kazi baada ya kumfumua ndoige Saidi Mbelwa ametangaza kumtaka Hassan Mwakinyo. Akihojiwa baada ya pambano amesema anaenda Qatar kupimzika, akirudi anamtaka Mwakinyo huku akimuita bondia wa mchongo. Click to expand... Anaenda qatar kupumzika kwa nini usimshauri aende dubai
MAWEED JF-Expert Member Oct 11, 2016 3,282 10,972 Nov 27, 2022 #4 UMEJICHANYAAA UMEJICHANYAA HASSAN MWAKINYO,NAKUUA MDOGO WANGU
McFerson JF-Expert Member Jan 8, 2015 2,120 2,167 Nov 27, 2022 #5 Mwakinyo ameyakanyaga Sent from my OPPO F1s using JamiiForums mobile app
moi wa kitaa JF-Expert Member May 3, 2015 911 925 Nov 27, 2022 #6 Kwa mara ya kwanza leo nimesikia sauti y mbwata imetoka kwenye matako
OKW BOBAN SUNZU Platinum Member Aug 24, 2011 49,245 103,948 Nov 27, 2022 Thread starter #7 Mwizukulu mgikuru said: Anaenda qatar kupumzika kwa nini usimshauri aende dubai Click to expand... Anaenda kuangalia soka
Mwizukulu mgikuru said: Anaenda qatar kupumzika kwa nini usimshauri aende dubai Click to expand... Anaenda kuangalia soka