Manchester United (Red Devils) | Special Thread


Wanaumwa ule Ugonjwa wa timu ya kaka mkubwa Chomba...
 
.....hhahhhaahhhhaa!!!
Jamani haya maisha ni #Shidaaaa

Eti? Nzi Belo.....jana Man U kweli
Hamkuambulia hata a single shot on target wakati mna a £300,000 striker partnering #VanPersie .. Haya ni majanga ambayo kwa wenye mioyo dhaifu mfano mfarisayo, hata kuchangia mawazo jf inakuwa ni #Shidaaa !

Mtake msitake, jumba la biskuti limerowana maji....#TheChoosenOne isnt the right man kwa Man United.





#MosKwito !
 
Last edited by a moderator:
tulieni dawa iwaingie.msie man city tushapigwa tumejifuta maisha yanaendelea
 




#MosKwito !
 

kuna watu hata moyes akosee vipi wao wanaona anahitaji muda na wachezaji wanamuangusha sio yeye,lakini saa nyingine binfsi nikikaa nikiangalia matukio ya moyes kupanga kikosi hovyo na sub mbovu huwa naona kama anafanya makusudi,inaweinawezekanaje kitu amabcho wanasoka,mashabiki na wachezaji wanakiona dunia nzima yeye na benchi lake la ufundi hawakioni.smalling cleverly hawa ni wachezaji wa kuuzwa kwa lazima....,binafsi nataka kocha atakaekuja pale asiwe mscotish wala muingereza maana hawa ndo wanaoua vilabu vya uingereza kwa kupendelea wachezaji wao hata kama wabovu,ukimuacha rodgers wa liverpool wengine hawana mbinu mpya na hawajaribu sana kuchukua wachezaji wa kutoka nje,na wamekazania zaidi mpira wa kiingereza.
 
waache waseme..wanune..wavimbe..mimi nawee Moyes,wacha waongee ongee ongee ongee ongee ongee..mwaaa!

yaani man u na moyes wananikumbusha enzi za maximo na mapunda hata watu muongee vipi wao hawana habari wameweka masikio pamba na wamefunga ndoa ya kikristo haina kuachana hiyo....
 
Joel Campbell mwakani atakuja tena kuwapiga pale EPL!inakuaje Wenger anamtoa yule mkopo na kubaki na kina Sanogo?
 
yaani man u na moyes wananikumbusha enzi za maximo na mapunda hata watu muongee vipi wao hawana habari wameweka masikio pamba na wamefunga ndoa ya kikristo haina kuachana hiyo....

ha ha haa!Moyes majanga sana.Nawashauri ndugu zangu wa jukwaa hili wahamie kwa muda kwenye forums za uingereza wakawaongezee nguvu wenzao hadi hili zee litimuliwe.
 
Mkuu Mndengereko Moyes seems to have a distrust of his more creative players,you wonder a players like Shinji Kagawa,Januzaj and Fellaine were all warming the bench ??????.

 
Last edited by a moderator:
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…