Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Ander Herrera: “I will watch it [FA Cup Final] for sure and I will watch it with a United shirt for sure.”

#𝙏𝙧𝙪𝙨𝙩𝙏𝙝𝙚𝙋𝙧𝙤𝙘𝙚𝙨𝙨𝙀𝙏𝙃

#𝙐𝙣𝙞𝙩𝙚𝙙𝙛𝙤𝙧𝙩𝙝𝙚𝙁𝙖𝙣𝙨

#𝙂𝙡𝙖𝙯𝙚𝙧𝙊𝙐𝙏

#𝙂𝙂𝙈𝙐


man utd |
 
Haya mambo yako haya ya "rebuild" cjui "half ya pili ya mpinzani" cjui nini nini ndiyo huwa yanakuponza mpaka unakimbia jukwaa lako
 
Kweli kabisa.
 
Manjesta mseme kabisa nyie mtaanza ligi Kama Title contender au title pretender?
 
Tatizo la manjesta sio Graza family

Joel Graza eti analaumiwa kwa sajili hizi za kina Sawadogo
 
Manjesta kwa mpira wenu wa janja janja ule


Kesho mnaweza kupigwa Goli 5 Hadi 7 kwa sufuri
 
7 hag aambiwe ukweli ,mpira wa janja janja una expire date , asitegemee Tena form ya Rashford na harakati za Degea kumfichia ujinga wake


Aambiwe ukweli
 
Mimi sio mjukuu wa Nabii ila haya yatatokea

1: Mashabiki wa manjesta wataandamana kumpinga Graza kwa sajili za kitapeli za 7 hag

2: 7 hag atakutana na vipigo mfululizo
 
SAJILI ZA KITAPELI


WEGHOST

0 Goals

1 Assist (yakujigonga gonga)
 
SAJILI ZA KITAPELI



JINA :SANCHO

ALINUNULIWA €85M

GOALS: 6

MECHI :50
 
SAJILI ZA KITAPELI

JINA: ANTHONY SANTOS

ALINUNULIWA KWA €100M

GOALS :4

MECHI 30+
 
SAJILI ZA KITAPELI

JINA:HARRY MAGWAYA

ALINUNULIWA KWA £85M(~€90M)

OWN GOALS :15

ERRORS LEADING TO GOALS:120
 
Bukayo Ayoyinka Saka ameenda Nigeria kwa mtaalamu wake wa tiba asili msimu ujao mkileta matapeli wenu kwa ground kuwalaumu ni lazima tu
 
Naam

nimerudi rasmi kutema madini

Jadon SANCHO msimu huu
Matches 29
Goals 3
Asists 3

Hizi takwimu zinakuwaga za mabeki tu sio winger

Itoshe kusema ni moja wapo ya Sajili Za Kitapeli kuwahi kutokea EPL


hii dunia haitakwisha utapeli

nakwenda zangu



NB: Pichani Ni manjesta ya Tz Katika kombe la Abiola cup 1993
 
NAAM

Katika pitapita zangu kutafuta . Sajili Za Kitapeli . Nikadandia mukweche wangu hadi Mbugani Serengeti nikakutana na huyu mtu

Odion jude ighalo Ekei silent Venom

Alizitafuna kimya kimya kisha akasepa
ghafla

Sikuwai kufikiria hadi wachina wanaweza kua matapeli kiasi hiki nilijua ni wataaalamu wakomufu kumbe nao ni wakali wahizi kazi

Hii dunia haitakwisha utapeli

Nakwenda zangu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…